JaphetJacob
Senior Member
- Dec 11, 2015
- 106
- 121
Rais anaposema watu wazae tu watoto maana watasoma bure afu wakifika advance anawakandamiza kwa grade ambazo ki ukweli ni ngumu ukilinganisha na miondombinu mashuleni
Pia kutotoa fedha kwa ajili ya field kwa wakati huku watu wanateseka
Hii kweli ni nia ya dhati au siasa
Pia kutotoa fedha kwa ajili ya field kwa wakati huku watu wanateseka
Hii kweli ni nia ya dhati au siasa