Elimu bila ada, Kidato cha Tano kizungumkuti

Elimu bila ada, Kidato cha Tano kizungumkuti

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,110
Waziri wa Fedha alitangaza kuanza kutoa elimu bure na kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili hiyo.

Wakati anatangaza shule zilikuwa zimeshafunguliwa na wengi walishalipa ada na mpaka jana wanafunzi walikuwa wanaendelea kulipa ada.

Fedha zilizopangwa katika bajeti zitatumika kwa ajili ya kitu gani?au je kuna uwezekano wazazi wakarudishiwa ada zao?
 
Hii serekale inajua kucheza na akili za wadanganyika visuri sana.

Unaambiwa umefutiwa ada halafu unaambiwa leta gunia la mahindi, maharage, mafuta ta kula, hela ya mlinzi, nk. Ukipiga hesabu ni karibu 300,000, halafu ada iliyofutwa ni 70,000.

Si wangetoa hiuo michango tubaki na ada.

Halafu kuna wabunge eti mpaka walisimama kupiga makofi.
Nilimwona mpaka Ole sendeka.
 
Back
Top Bottom