Elimu ambayo Padri hawezi kukupa

Elimu ambayo Padri hawezi kukupa

Jackwillpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
2,539
Reaction score
3,860
JE, BIBLIA IMERUHUSU POMBE?

Kuna aya tata katika biblia ya kiswahili ambazo walevi wanazitumia kutetea unywaji wa pombe, na wale walio maadui wa Ukristo pia wanatumia aya hizo kuponda Ukristo eti umeruhusu pombe. Jibu ni kwamba biblia haijaruhusu pombe ila kuna watu maarufu katika biblia walikunywa pombe kwa tamaa zao, ambao watu wasio na akili wanatumia udhaifu huo kuhalalisha unywaji pombe.

Kitu cha muhimu kujua kwanza ni lazima tufahamu kuwa Biblia zetu ni tafasiri za lugha zetu za asili yaani kiswahili na kiingereza nk ambazo si lugha ambazo zimeandikiwa Biblia. Lugha ya asili ya Agano la kale ni Kiebrania na kwa sehemu Kiaramu, wakati lugha ya asili ya Agano jipya ni kiyunani na kwa sehemu kiebrania, hizi ni lugha ambazo zina utajiri mkubwa wa maneno na misamiati.

Sasa linapokuja suala la kuhusu pombe, au divai au mvinyo ni lazima tujue kwamba lugha zetu zimeandika neno mvinyo, au divai tu in general na hii ni kwasababu haikuwa na utajiri wa maneno wa kuweka au kutofautisha matumizi ya maneno haya kama ilivyokuwa kwenye kiyunani na kiebrania.

Maneno haya DIVAI au MVINYO katika lugha zetu yameandikwa kawaida tu divai, au mvinyo kiasi huwezi kutofautisha ni divai ipi iliyokuwa ikiongelewa hapo.

Ni sawasawa na kwetu mtu akiongelea neno mbuzi, ni rahisi mtu kujua kuwa hapa anaongelea mnyama au kifaa kwasababu ni lugha yetu na tunajua tofauti zake, lakini Biblia zetu zimeandikwa tu Divai, au mvinyo ni ngumu kwetu kujua alikuwa akimaanisha aina ipi kwasababu hiyo si lugha yetu.

Zabibu zilikuwa zikitengenezwa na kuleta vitu mbalimbali mfano juice, dawa, mikate ya zabibu kavu (ENAB) na kadhalika.


1TIMOTHEO 5:23 inapozungumzia juu ya magonjwa tayari kinachozungumziwa hapo ni mvinyo ambao ni dawa na wala sio mnyinyo ambao ni kilevi.

Jiulize jee, kwa ulimwengu wetu huu leo wanywao pombe wanakunywa kama dawa? Hebu sasa tuangalie majina ya aina kadhaa za divai au mvinyo kwa lugha za asili za Biblia, hii inaweza kutusaidia kidogo kuelewa kuhusu jambo hili.

TIROSH

Tirosh, properly "must," translated "wine" _divai "Hii ni juice iliyokamuliwa kutokana na zabibu/divai mpya MITHALI 3:10. Sehemu nyingi MUNGU anawaambia watu walete sadaka ya divai. Matumizi ya divai ukiangalia katika lugha za asili neno lililotumika ni TYROSH, likimaanisha si kilevi bali ni juice. Ona mifano michache hapa
ISAYA 65:8 – Tyrosh ni divai mpya ambayo wakulima waliita Baraka, KUMBU2 12:17 – Dhaka ya divai (Kumb 28:51); "new wine" divai (Mithali 3:10 "sweet wine").

Sidhani kama katika maandiko hayo MUNGU alikuwa akiagiza aletewe kilevi. Among the blessings promised to Esau Genesis 27:28 mention is made of "plenty of corn and tirosh." Canaan is called "a land of corn and tirosh" Kumb 33:28 ; Compare Isaiah 36:17 ) Kanaan iliitwa nchi ya ngano na divai(tirosh). Najaribu tuu kuwaza na sioni kama MUNGU angeita kilevi baraka. hahaahaa

YAYIN

Huu ni mvinyo/divai iliyochachuka, ni neno la ujumla wake lakini ili kujua tofauti, mahali popote ambapo MUNGU aliagiza sadaka ya mvinyo au kuagiza mtu atumie mvinyo hajatumia neno YAYIN bali ametumia neno TIYROSH. Hutumika pia kwa jina la MESEKH a properly a mixture of wine and water with spices that increase its stimulating properties. Mifano ya maandiko yanayoongelea YAYIN kama kilevi Isaya 5:22 "The wine [yayin] is red; it is full of mixture [mesekh];" MITHALI 23:29-30 , "mixed wine;" Icho ni kilevi kilichotokana na zabibu na mazao mengine. Na Mungu ameweka marufuku.

Pia Yayin kabla haijachacha kuwa kilevi ilitumika kama juice, ile siku inapokamuliwa toka ktk shinikizo la zabibu(yaani mashine ya kuproces zabibu kuwa divai) ilikuwa ni kijengo cha chini kilichotengenezwa kwajili kuziponda au kuziganyaga zabibu mpk zinakuwa ujiuji na kukamuliwa divai. Ilikuwa ni kazi kubwa kutengeneza divai mpk iwe nzuri na yenye ladha kinywani. Ndo maana Yesu alivyotengeneza divai ktk harusi ya Kana kwa kutumia maji, ilikuwa mujiza na ikawa yenye ladha tamu na nzuri kwa wanywaji. Kwaiyo Yesu hakutengeneza kilevi.

SHEKAR

Hii imetajwa kama kileo chenye nguvu, kilikuwa ni kileo chenye kutengenezwa kwa mchanganyiko mbalimbali, na hii pia ni pombe by origin meaning. Rejea

MUHUBIRI 2:3
ISAYA 5:22
MAMBO YA WALAWI 10:9 , "Do not drink wine [yayin] nor strong drink [shekar];"
HESABU 6:3 ;
WAAMUZI 13:4 - 7
ISAYA 28:7 (in all these places rendered "strong drink").
ISAYA 5:11 ; 24:9 ; 29:9 ; 56:11-12 lees
Mithali 20:1

Mafungu yote hayo yanaonesha divai ya kileo(strong drink) ambayo Mungu alipiga marufuku(Isaya 5:22, Waefeso 5:18). Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu....(Isaya 5:22) Msilewa kwa mvinyo ambao ndani yake kuna ufisadi(Waefeso 5:18)

ASHISHAH

Huu ulijulikana kama mkate wa zabivu, Soma ( 2 Samuel 6:19 ; 1 Nyakati 16:3 ; Hosea 3:1 ), which, however, rather denotes a solid cake of pressed grapes, or, a cake of raisins

UTAJUAJE KUWA HII NI SAHIHI AU SI SAHIHI?

Hata kama huna uhakika wa jambo kama ni sahihi au siyo sahihi basi angalia matunda/matokeo ya jambo lile ndipo utajua kama ni sahihi au siyo sahihi kunywa pombe. Rejea
MITHALI 23:29-35
MATHAYO 7:17-18

Je matokeo ya kunywa pombe ni nini?

Rejea

MWANZO 9:20-23 Nuhu pombe ilimfanya kuvua nguo na kuwa uchi kiasi cha kulaani familia yake.

MWANZO 19:30-36 Lutu pombe ilimfanya kulala na binti zake kiasi cha kuwapa mimba.

MATHAYO 24:45-51/1WAKORINTHO 6:10 Wanywao pombe wataangamia ajapo Yesu.

Nje ya katazo la biblia pombe ni hatari kwa afya yako, na inaleta umaskini na zinaa na uharibu wa jamii na familia. Hosea 4:11

Unaweza kuwa unywi pombe ila unawanunulia wengine pombe, basi tambua una hatari ""imeandikwa "ole wake yeye ampaye jirani yake kileo....Habakuki 2:15

Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye "mvinyo" na mafuta hatakuwa tajiri. Mithali 11:17. 18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; Waefeso 5:18. Ole wao walio hodari kunywa kileo...Isaya 5:22

Amani ya Bwana iwe nawe.
 
JE, BIBLIA IMERUHUSU POMBE?

Kuna aya tata katika biblia ya kiswahili ambazo walevi wanazitumia kutetea unywaji wa pombe, na wale walio maadui wa Ukristo pia wanatumia aya hizo kuponda Ukristo eti umeruhusu pombe. Jibu ni kwamba biblia haijaruhusu pombe ila kuna watu maarufu katika biblia walikunywa pombe kwa tamaa zao, ambao watu wasio na akili wanatumia udhaifu huo kuhalalisha unywaji pombe.

Kitu cha muhimu kujua kwanza ni lazima tufahamu kuwa Biblia zetu ni tafasiri za lugha zetu za asili yaani kiswahili na kiingereza nk ambazo si lugha ambazo zimeandikiwa Biblia. Lugha ya asili ya Agano la kale ni Kiebrania na kwa sehemu Kiaramu, wakati lugha ya asili ya Agano jipya ni kiyunani na kwa sehemu kiebrania, hizi ni lugha ambazo zina utajiri mkubwa wa maneno na misamiati.

Sasa linapokuja suala la kuhusu pombe, au divai au mvinyo ni lazima tujue kwamba lugha zetu zimeandika neno mvinyo, au divai tu in general na hii ni kwasababu haikuwa na utajiri wa maneno wa kuweka au kutofautisha matumizi ya maneno haya kama ilivyokuwa kwenye kiyunani na kiebrania.

Maneno haya DIVAI au MVINYO katika lugha zetu yameandikwa kawaida tu divai, au mvinyo kiasi huwezi kutofautisha ni divai ipi iliyokuwa ikiongelewa hapo.

Ni sawasawa na kwetu mtu akiongelea neno mbuzi, ni rahisi mtu kujua kuwa hapa anaongelea mnyama au kifaa kwasababu ni lugha yetu na tunajua tofauti zake, lakini Biblia zetu zimeandikwa tu Divai, au mvinyo ni ngumu kwetu kujua alikuwa akimaanisha aina ipi kwasababu hiyo si lugha yetu.

Zabibu zilikuwa zikitengenezwa na kuleta vitu mbalimbali mfano juice, dawa, mikate ya zabibu kavu (ENAB) na kadhalika.


1TIMOTHEO 5:23 inapozungumzia juu ya magonjwa tayari kinachozungumziwa hapo ni mvinyo ambao ni dawa na wala sio mnyinyo ambao ni kilevi.

Jiulize jee, kwa ulimwengu wetu huu leo wanywao pombe wanakunywa kama dawa? Hebu sasa tuangalie majina ya aina kadhaa za divai au mvinyo kwa lugha za asili za Biblia, hii inaweza kutusaidia kidogo kuelewa kuhusu jambo hili.

TIROSH

Tirosh, properly "must," translated "wine" _divai "Hii ni juice iliyokamuliwa kutokana na zabibu/divai mpya MITHALI 3:10. Sehemu nyingi MUNGU anawaambia watu walete sadaka ya divai. Matumizi ya divai ukiangalia katika lugha za asili neno lililotumika ni TYROSH, likimaanisha si kilevi bali ni juice. Ona mifano michache hapa
ISAYA 65:8 – Tyrosh ni divai mpya ambayo wakulima waliita Baraka, KUMBU2 12:17 – Dhaka ya divai (Kumb 28:51); "new wine" divai (Mithali 3:10 "sweet wine").

Sidhani kama katika maandiko hayo MUNGU alikuwa akiagiza aletewe kilevi. Among the blessings promised to Esau Genesis 27:28 mention is made of "plenty of corn and tirosh." Canaan is called "a land of corn and tirosh" Kumb 33:28 ; Compare Isaiah 36:17 ) Kanaan iliitwa nchi ya ngano na divai(tirosh). Najaribu tuu kuwaza na sioni kama MUNGU angeita kilevi baraka. hahaahaa

YAYIN

Huu ni mvinyo/divai iliyochachuka, ni neno la ujumla wake lakini ili kujua tofauti, mahali popote ambapo MUNGU aliagiza sadaka ya mvinyo au kuagiza mtu atumie mvinyo hajatumia neno YAYIN bali ametumia neno TIYROSH. Hutumika pia kwa jina la MESEKH a properly a mixture of wine and water with spices that increase its stimulating properties. Mifano ya maandiko yanayoongelea YAYIN kama kilevi Isaya 5:22 "The wine [yayin] is red; it is full of mixture [mesekh];" MITHALI 23:29-30 , "mixed wine;" Icho ni kilevi kilichotokana na zabibu na mazao mengine. Na Mungu ameweka marufuku.

Pia Yayin kabla haijachacha kuwa kilevi ilitumika kama juice, ile siku inapokamuliwa toka ktk shinikizo la zabibu(yaani mashine ya kuproces zabibu kuwa divai) ilikuwa ni kijengo cha chini kilichotengenezwa kwajili kuziponda au kuziganyaga zabibu mpk zinakuwa ujiuji na kukamuliwa divai. Ilikuwa ni kazi kubwa kutengeneza divai mpk iwe nzuri na yenye ladha kinywani. Ndo maana Yesu alivyotengeneza divai ktk harusi ya Kana kwa kutumia maji, ilikuwa mujiza na ikawa yenye ladha tamu na nzuri kwa wanywaji. Kwaiyo Yesu hakutengeneza kilevi.

SHEKAR

Hii imetajwa kama kileo chenye nguvu, kilikuwa ni kileo chenye kutengenezwa kwa mchanganyiko mbalimbali, na hii pia ni pombe by origin meaning. Rejea

MUHUBIRI 2:3
ISAYA 5:22
MAMBO YA WALAWI 10:9 , "Do not drink wine [yayin] nor strong drink [shekar];"
HESABU 6:3 ;
WAAMUZI 13:4 - 7
ISAYA 28:7 (in all these places rendered "strong drink").
ISAYA 5:11 ; 24:9 ; 29:9 ; 56:11-12 lees
Mithali 20:1

Mafungu yote hayo yanaonesha divai ya kileo(strong drink) ambayo Mungu alipiga marufuku(Isaya 5:22, Waefeso 5:18). Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu....(Isaya 5:22) Msilewa kwa mvinyo ambao ndani yake kuna ufisadi(Waefeso 5:18)

ASHISHAH

Huu ulijulikana kama mkate wa zabivu, Soma ( 2 Samuel 6:19 ; 1 Nyakati 16:3 ; Hosea 3:1 ), which, however, rather denotes a solid cake of pressed grapes, or, a cake of raisins

UTAJUAJE KUWA HII NI SAHIHI AU SI SAHIHI?

Hata kama huna uhakika wa jambo kama ni sahihi au siyo sahihi basi angalia matunda/matokeo ya jambo lile ndipo utajua kama ni sahihi au siyo sahihi kunywa pombe. Rejea
MITHALI 23:29-35
MATHAYO 7:17-18

Je matokeo ya kunywa pombe ni nini?

Rejea

MWANZO 9:20-23 Nuhu pombe ilimfanya kuvua nguo na kuwa uchi kiasi cha kulaani familia yake.

MWANZO 19:30-36 Lutu pombe ilimfanya kulala na binti zake kiasi cha kuwapa mimba.

MATHAYO 24:45-51/1WAKORINTHO 6:10 Wanywao pombe wataangamia ajapo Yesu.

Nje ya katazo la biblia pombe ni hatari kwa afya yako, na inaleta umaskini na zinaa na uharibu wa jamii na familia. Hosea 4:11

Unaweza kuwa unywi pombe ila unawanunulia wengine pombe, basi tambua una hatari ""imeandikwa "ole wake yeye ampaye jirani yake kileo....Habakuki 2:15

Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye "mvinyo" na mafuta hatakuwa tajiri. Mithali 11:17. 18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; Waefeso 5:18. Ole wao walio hodari kunywa kileo...Isaya 5:22

Amani ya Bwana iwe nawe.
Huu mstari una maana gani?

Mt 11:19 SUV​

Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.

Juice gani inayolewesha?
 
BIBLIA HAIKATAZI POMBE
●Zaburi 104:15
Na divai imfurahishe mtu moyo wake. Aung'aze uso wake kwa mafuta, Na mkate umburudishe mtu moyo wake

Yesu mwenyewe alikuwa stadi wa kutengeneza pombe
●Yohana 2:7–10
7 Yesu akawaambia wale watumishi, “Ijazeni mitungi hiyo maji.” Wakaijaza mpaka juu. 8 Kisha akawaambia, “Sasa choteni maji kidogo mumpelekee mkuu wa sherehe.” Wakachota, wakampelekea. 9 Yule mkuu wa sherehe akayaonja yale maji ambayo yalikuwa yame geuka kuwa divai.



BIBLIA INAKATAZA ULEVI
1. WAKORINTHO 6:10
walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu.

●WAEFESO 5:18
Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.
 
Yoshua Bin Sira 31:25-31
Pombe iliumbwa kumfurahisha Binadamu.

25Usijioneshe kuwa hodari wa kunywa pombe,

maana pombe imewaangamiza wengi.

26Tanuri hupima ugumu wa chuma,

na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.

27Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi.

Maisha yafaa nini bila pombe?

Imeumbwa iwafurahishe watu.

28Kunywa pombe wakati wake na kwa kiasi,

kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.

29Lakini kunywa pombe kupita kiasi,

kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha.

30Ulevi huongeza hasira ya mpumbavu akajiumiza mwenyewe;

humdhoofisha na kumwongezea majeraha.

31Usimkaripie jirani yako kwenye pombe,

wala usimdharau anapofurahia karamu.

Usimwambie neno la kumwonya,

wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni.
 
JE, BIBLIA IMERUHUSU POMBE?

Kuna aya tata katika biblia ya kiswahili ambazo walevi wanazitumia kutetea unywaji wa pombe, na wale walio maadui wa Ukristo pia wanatumia aya hizo kuponda Ukristo eti umeruhusu pombe. Jibu ni kwamba biblia haijaruhusu pombe ila kuna watu maarufu katika biblia walikunywa pombe kwa tamaa zao, ambao watu wasio na akili wanatumia udhaifu huo kuhalalisha unywaji pombe.

Kitu cha muhimu kujua kwanza ni lazima tufahamu kuwa Biblia zetu ni tafasiri za lugha zetu za asili yaani kiswahili na kiingereza nk ambazo si lugha ambazo zimeandikiwa Biblia. Lugha ya asili ya Agano la kale ni Kiebrania na kwa sehemu Kiaramu, wakati lugha ya asili ya Agano jipya ni kiyunani na kwa sehemu kiebrania, hizi ni lugha ambazo zina utajiri mkubwa wa maneno na misamiati.

Sasa linapokuja suala la kuhusu pombe, au divai au mvinyo ni lazima tujue kwamba lugha zetu zimeandika neno mvinyo, au divai tu in general na hii ni kwasababu haikuwa na utajiri wa maneno wa kuweka au kutofautisha matumizi ya maneno haya kama ilivyokuwa kwenye kiyunani na kiebrania.

Maneno haya DIVAI au MVINYO katika lugha zetu yameandikwa kawaida tu divai, au mvinyo kiasi huwezi kutofautisha ni divai ipi iliyokuwa ikiongelewa hapo.

Ni sawasawa na kwetu mtu akiongelea neno mbuzi, ni rahisi mtu kujua kuwa hapa anaongelea mnyama au kifaa kwasababu ni lugha yetu na tunajua tofauti zake, lakini Biblia zetu zimeandikwa tu Divai, au mvinyo ni ngumu kwetu kujua alikuwa akimaanisha aina ipi kwasababu hiyo si lugha yetu.

Zabibu zilikuwa zikitengenezwa na kuleta vitu mbalimbali mfano juice, dawa, mikate ya zabibu kavu (ENAB) na kadhalika.


1TIMOTHEO 5:23 inapozungumzia juu ya magonjwa tayari kinachozungumziwa hapo ni mvinyo ambao ni dawa na wala sio mnyinyo ambao ni kilevi.

Jiulize jee, kwa ulimwengu wetu huu leo wanywao pombe wanakunywa kama dawa? Hebu sasa tuangalie majina ya aina kadhaa za divai au mvinyo kwa lugha za asili za Biblia, hii inaweza kutusaidia kidogo kuelewa kuhusu jambo hili.

TIROSH

Tirosh, properly "must," translated "wine" _divai "Hii ni juice iliyokamuliwa kutokana na zabibu/divai mpya MITHALI 3:10. Sehemu nyingi MUNGU anawaambia watu walete sadaka ya divai. Matumizi ya divai ukiangalia katika lugha za asili neno lililotumika ni TYROSH, likimaanisha si kilevi bali ni juice. Ona mifano michache hapa
ISAYA 65:8 – Tyrosh ni divai mpya ambayo wakulima waliita Baraka, KUMBU2 12:17 – Dhaka ya divai (Kumb 28:51); "new wine" divai (Mithali 3:10 "sweet wine").

Sidhani kama katika maandiko hayo MUNGU alikuwa akiagiza aletewe kilevi. Among the blessings promised to Esau Genesis 27:28 mention is made of "plenty of corn and tirosh." Canaan is called "a land of corn and tirosh" Kumb 33:28 ; Compare Isaiah 36:17 ) Kanaan iliitwa nchi ya ngano na divai(tirosh). Najaribu tuu kuwaza na sioni kama MUNGU angeita kilevi baraka. hahaahaa

YAYIN

Huu ni mvinyo/divai iliyochachuka, ni neno la ujumla wake lakini ili kujua tofauti, mahali popote ambapo MUNGU aliagiza sadaka ya mvinyo au kuagiza mtu atumie mvinyo hajatumia neno YAYIN bali ametumia neno TIYROSH. Hutumika pia kwa jina la MESEKH a properly a mixture of wine and water with spices that increase its stimulating properties. Mifano ya maandiko yanayoongelea YAYIN kama kilevi Isaya 5:22 "The wine [yayin] is red; it is full of mixture [mesekh];" MITHALI 23:29-30 , "mixed wine;" Icho ni kilevi kilichotokana na zabibu na mazao mengine. Na Mungu ameweka marufuku.

Pia Yayin kabla haijachacha kuwa kilevi ilitumika kama juice, ile siku inapokamuliwa toka ktk shinikizo la zabibu(yaani mashine ya kuproces zabibu kuwa divai) ilikuwa ni kijengo cha chini kilichotengenezwa kwajili kuziponda au kuziganyaga zabibu mpk zinakuwa ujiuji na kukamuliwa divai. Ilikuwa ni kazi kubwa kutengeneza divai mpk iwe nzuri na yenye ladha kinywani. Ndo maana Yesu alivyotengeneza divai ktk harusi ya Kana kwa kutumia maji, ilikuwa mujiza na ikawa yenye ladha tamu na nzuri kwa wanywaji. Kwaiyo Yesu hakutengeneza kilevi.

SHEKAR

Hii imetajwa kama kileo chenye nguvu, kilikuwa ni kileo chenye kutengenezwa kwa mchanganyiko mbalimbali, na hii pia ni pombe by origin meaning. Rejea

MUHUBIRI 2:3
ISAYA 5:22
MAMBO YA WALAWI 10:9 , "Do not drink wine [yayin] nor strong drink [shekar];"
HESABU 6:3 ;
WAAMUZI 13:4 - 7
ISAYA 28:7 (in all these places rendered "strong drink").
ISAYA 5:11 ; 24:9 ; 29:9 ; 56:11-12 lees
Mithali 20:1

Mafungu yote hayo yanaonesha divai ya kileo(strong drink) ambayo Mungu alipiga marufuku(Isaya 5:22, Waefeso 5:18). Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu....(Isaya 5:22) Msilewa kwa mvinyo ambao ndani yake kuna ufisadi(Waefeso 5:18)

ASHISHAH

Huu ulijulikana kama mkate wa zabivu, Soma ( 2 Samuel 6:19 ; 1 Nyakati 16:3 ; Hosea 3:1 ), which, however, rather denotes a solid cake of pressed grapes, or, a cake of raisins

UTAJUAJE KUWA HII NI SAHIHI AU SI SAHIHI?

Hata kama huna uhakika wa jambo kama ni sahihi au siyo sahihi basi angalia matunda/matokeo ya jambo lile ndipo utajua kama ni sahihi au siyo sahihi kunywa pombe. Rejea
MITHALI 23:29-35
MATHAYO 7:17-18

Je matokeo ya kunywa pombe ni nini?

Rejea

MWANZO 9:20-23 Nuhu pombe ilimfanya kuvua nguo na kuwa uchi kiasi cha kulaani familia yake.

MWANZO 19:30-36 Lutu pombe ilimfanya kulala na binti zake kiasi cha kuwapa mimba.

MATHAYO 24:45-51/1WAKORINTHO 6:10 Wanywao pombe wataangamia ajapo Yesu.

Nje ya katazo la biblia pombe ni hatari kwa afya yako, na inaleta umaskini na zinaa na uharibu wa jamii na familia. Hosea 4:11

Unaweza kuwa unywi pombe ila unawanunulia wengine pombe, basi tambua una hatari ""imeandikwa "ole wake yeye ampaye jirani yake kileo....Habakuki 2:15

Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye "mvinyo" na mafuta hatakuwa tajiri. Mithali 11:17. 18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; Waefeso 5:18. Ole wao walio hodari kunywa kileo...Isaya 5:22

Amani ya Bwana iwe nawe.
Shida ya pombe kama ilivyo cocaïne, bangi nk ni matumizi mazuri (moderation). Hata ugali ukila kupindukia ni dhambi, pombe hivyo hivyo, ngono, etc. Everything should be taken in moderation, hata maji ya kunywa!
 
JE, BIBLIA IMERUHUSU POMBE?

Kuna aya tata katika biblia ya kiswahili ambazo walevi wanazitumia kutetea unywaji wa pombe, na wale walio maadui wa Ukristo pia wanatumia aya hizo kuponda Ukristo eti umeruhusu pombe. Jibu ni kwamba biblia haijaruhusu pombe ila kuna watu maarufu katika biblia walikunywa pombe kwa tamaa zao, ambao watu wasio na akili wanatumia udhaifu huo kuhalalisha unywaji pombe.

Kitu cha muhimu kujua kwanza ni lazima tufahamu kuwa Biblia zetu ni tafasiri za lugha zetu za asili yaani kiswahili na kiingereza nk ambazo si lugha ambazo zimeandikiwa Biblia. Lugha ya asili ya Agano la kale ni Kiebrania na kwa sehemu Kiaramu, wakati lugha ya asili ya Agano jipya ni kiyunani na kwa sehemu kiebrania, hizi ni lugha ambazo zina utajiri mkubwa wa maneno na misamiati.

Sasa linapokuja suala la kuhusu pombe, au divai au mvinyo ni lazima tujue kwamba lugha zetu zimeandika neno mvinyo, au divai tu in general na hii ni kwasababu haikuwa na utajiri wa maneno wa kuweka au kutofautisha matumizi ya maneno haya kama ilivyokuwa kwenye kiyunani na kiebrania.

Maneno haya DIVAI au MVINYO katika lugha zetu yameandikwa kawaida tu divai, au mvinyo kiasi huwezi kutofautisha ni divai ipi iliyokuwa ikiongelewa hapo.

Ni sawasawa na kwetu mtu akiongelea neno mbuzi, ni rahisi mtu kujua kuwa hapa anaongelea mnyama au kifaa kwasababu ni lugha yetu na tunajua tofauti zake, lakini Biblia zetu zimeandikwa tu Divai, au mvinyo ni ngumu kwetu kujua alikuwa akimaanisha aina ipi kwasababu hiyo si lugha yetu.

Zabibu zilikuwa zikitengenezwa na kuleta vitu mbalimbali mfano juice, dawa, mikate ya zabibu kavu (ENAB) na kadhalika.


1TIMOTHEO 5:23 inapozungumzia juu ya magonjwa tayari kinachozungumziwa hapo ni mvinyo ambao ni dawa na wala sio mnyinyo ambao ni kilevi.

Jiulize jee, kwa ulimwengu wetu huu leo wanywao pombe wanakunywa kama dawa? Hebu sasa tuangalie majina ya aina kadhaa za divai au mvinyo kwa lugha za asili za Biblia, hii inaweza kutusaidia kidogo kuelewa kuhusu jambo hili.

TIROSH

Tirosh, properly "must," translated "wine" _divai "Hii ni juice iliyokamuliwa kutokana na zabibu/divai mpya MITHALI 3:10. Sehemu nyingi MUNGU anawaambia watu walete sadaka ya divai. Matumizi ya divai ukiangalia katika lugha za asili neno lililotumika ni TYROSH, likimaanisha si kilevi bali ni juice. Ona mifano michache hapa
ISAYA 65:8 – Tyrosh ni divai mpya ambayo wakulima waliita Baraka, KUMBU2 12:17 – Dhaka ya divai (Kumb 28:51); "new wine" divai (Mithali 3:10 "sweet wine").

Sidhani kama katika maandiko hayo MUNGU alikuwa akiagiza aletewe kilevi. Among the blessings promised to Esau Genesis 27:28 mention is made of "plenty of corn and tirosh." Canaan is called "a land of corn and tirosh" Kumb 33:28 ; Compare Isaiah 36:17 ) Kanaan iliitwa nchi ya ngano na divai(tirosh). Najaribu tuu kuwaza na sioni kama MUNGU angeita kilevi baraka. hahaahaa

YAYIN

Huu ni mvinyo/divai iliyochachuka, ni neno la ujumla wake lakini ili kujua tofauti, mahali popote ambapo MUNGU aliagiza sadaka ya mvinyo au kuagiza mtu atumie mvinyo hajatumia neno YAYIN bali ametumia neno TIYROSH. Hutumika pia kwa jina la MESEKH a properly a mixture of wine and water with spices that increase its stimulating properties. Mifano ya maandiko yanayoongelea YAYIN kama kilevi Isaya 5:22 "The wine [yayin] is red; it is full of mixture [mesekh];" MITHALI 23:29-30 , "mixed wine;" Icho ni kilevi kilichotokana na zabibu na mazao mengine. Na Mungu ameweka marufuku.

Pia Yayin kabla haijachacha kuwa kilevi ilitumika kama juice, ile siku inapokamuliwa toka ktk shinikizo la zabibu(yaani mashine ya kuproces zabibu kuwa divai) ilikuwa ni kijengo cha chini kilichotengenezwa kwajili kuziponda au kuziganyaga zabibu mpk zinakuwa ujiuji na kukamuliwa divai. Ilikuwa ni kazi kubwa kutengeneza divai mpk iwe nzuri na yenye ladha kinywani. Ndo maana Yesu alivyotengeneza divai ktk harusi ya Kana kwa kutumia maji, ilikuwa mujiza na ikawa yenye ladha tamu na nzuri kwa wanywaji. Kwaiyo Yesu hakutengeneza kilevi.

SHEKAR

Hii imetajwa kama kileo chenye nguvu, kilikuwa ni kileo chenye kutengenezwa kwa mchanganyiko mbalimbali, na hii pia ni pombe by origin meaning. Rejea

MUHUBIRI 2:3
ISAYA 5:22
MAMBO YA WALAWI 10:9 , "Do not drink wine [yayin] nor strong drink [shekar];"
HESABU 6:3 ;
WAAMUZI 13:4 - 7
ISAYA 28:7 (in all these places rendered "strong drink").
ISAYA 5:11 ; 24:9 ; 29:9 ; 56:11-12 lees
Mithali 20:1

Mafungu yote hayo yanaonesha divai ya kileo(strong drink) ambayo Mungu alipiga marufuku(Isaya 5:22, Waefeso 5:18). Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu....(Isaya 5:22) Msilewa kwa mvinyo ambao ndani yake kuna ufisadi(Waefeso 5:18)

ASHISHAH

Huu ulijulikana kama mkate wa zabivu, Soma ( 2 Samuel 6:19 ; 1 Nyakati 16:3 ; Hosea 3:1 ), which, however, rather denotes a solid cake of pressed grapes, or, a cake of raisins

UTAJUAJE KUWA HII NI SAHIHI AU SI SAHIHI?

Hata kama huna uhakika wa jambo kama ni sahihi au siyo sahihi basi angalia matunda/matokeo ya jambo lile ndipo utajua kama ni sahihi au siyo sahihi kunywa pombe. Rejea
MITHALI 23:29-35
MATHAYO 7:17-18

Je matokeo ya kunywa pombe ni nini?

Rejea

MWANZO 9:20-23 Nuhu pombe ilimfanya kuvua nguo na kuwa uchi kiasi cha kulaani familia yake.

MWANZO 19:30-36 Lutu pombe ilimfanya kulala na binti zake kiasi cha kuwapa mimba.

MATHAYO 24:45-51/1WAKORINTHO 6:10 Wanywao pombe wataangamia ajapo Yesu.

Nje ya katazo la biblia pombe ni hatari kwa afya yako, na inaleta umaskini na zinaa na uharibu wa jamii na familia. Hosea 4:11

Unaweza kuwa unywi pombe ila unawanunulia wengine pombe, basi tambua una hatari ""imeandikwa "ole wake yeye ampaye jirani yake kileo....Habakuki 2:15

Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye "mvinyo" na mafuta hatakuwa tajiri. Mithali 11:17. 18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; Waefeso 5:18. Ole wao walio hodari kunywa kileo...Isaya 5:22

Amani ya Bwana iwe nawe.
Mwenye masikio atasikia, mfanya mizaha na masihara acha afanye wala asikusumbue.
 
HIYO NDIO BIBLIA INAVYOJIGONGA...

NA HAWA NDIO WAKRISTO...WANAJIHALALISHIA WANACHOTAKA...HAWANA CHA NENO LA MUNGU...WAKIONA KITU HAWAKIELEWI NA WANAKIPENDA...WANABADILISHA NENO LA MUNGU ILI LIENDANE NA MATAMANIO YAO...

Ulitaka kusemaje,ebu funguka
 
HIYO NDIO BIBLIA INAVYOJIGONGA...

NA HAWA NDIO WAKRISTO...WANAJIHALALISHIA WANACHOTAKA...HAWANA CHA NENO LA MUNGU...WAKIONA KITU HAWAKIELEWI NA WANAKIPENDA...WANABADILISHA NENO LA MUNGU ILI LIENDANE NA MATAMANIO YAO...
Hujui kitu wewe kazi kushambulia Imani tofauti na yako
 
JE, BIBLIA IMERUHUSU POMBE?

Kuna aya tata katika biblia ya kiswahili ambazo walevi wanazitumia kutetea unywaji wa pombe, na wale walio maadui wa Ukristo pia wanatumia aya hizo kuponda Ukristo eti umeruhusu pombe. Jibu ni kwamba biblia haijaruhusu pombe ila kuna watu maarufu katika biblia walikunywa pombe kwa tamaa zao, ambao watu wasio na akili wanatumia udhaifu huo kuhalalisha unywaji pombe.

Kitu cha muhimu kujua kwanza ni lazima tufahamu kuwa Biblia zetu ni tafasiri za lugha zetu za asili yaani kiswahili na kiingereza nk ambazo si lugha ambazo zimeandikiwa Biblia. Lugha ya asili ya Agano la kale ni Kiebrania na kwa sehemu Kiaramu, wakati lugha ya asili ya Agano jipya ni kiyunani na kwa sehemu kiebrania, hizi ni lugha ambazo zina utajiri mkubwa wa maneno na misamiati.

Sasa linapokuja suala la kuhusu pombe, au divai au mvinyo ni lazima tujue kwamba lugha zetu zimeandika neno mvinyo, au divai tu in general na hii ni kwasababu haikuwa na utajiri wa maneno wa kuweka au kutofautisha matumizi ya maneno haya kama ilivyokuwa kwenye kiyunani na kiebrania.

Maneno haya DIVAI au MVINYO katika lugha zetu yameandikwa kawaida tu divai, au mvinyo kiasi huwezi kutofautisha ni divai ipi iliyokuwa ikiongelewa hapo.

Ni sawasawa na kwetu mtu akiongelea neno mbuzi, ni rahisi mtu kujua kuwa hapa anaongelea mnyama au kifaa kwasababu ni lugha yetu na tunajua tofauti zake, lakini Biblia zetu zimeandikwa tu Divai, au mvinyo ni ngumu kwetu kujua alikuwa akimaanisha aina ipi kwasababu hiyo si lugha yetu.

Zabibu zilikuwa zikitengenezwa na kuleta vitu mbalimbali mfano juice, dawa, mikate ya zabibu kavu (ENAB) na kadhalika.


1TIMOTHEO 5:23 inapozungumzia juu ya magonjwa tayari kinachozungumziwa hapo ni mvinyo ambao ni dawa na wala sio mnyinyo ambao ni kilevi.

Jiulize jee, kwa ulimwengu wetu huu leo wanywao pombe wanakunywa kama dawa? Hebu sasa tuangalie majina ya aina kadhaa za divai au mvinyo kwa lugha za asili za Biblia, hii inaweza kutusaidia kidogo kuelewa kuhusu jambo hili.

TIROSH

Tirosh, properly "must," translated "wine" _divai "Hii ni juice iliyokamuliwa kutokana na zabibu/divai mpya MITHALI 3:10. Sehemu nyingi MUNGU anawaambia watu walete sadaka ya divai. Matumizi ya divai ukiangalia katika lugha za asili neno lililotumika ni TYROSH, likimaanisha si kilevi bali ni juice. Ona mifano michache hapa
ISAYA 65:8 – Tyrosh ni divai mpya ambayo wakulima waliita Baraka, KUMBU2 12:17 – Dhaka ya divai (Kumb 28:51); "new wine" divai (Mithali 3:10 "sweet wine").

Sidhani kama katika maandiko hayo MUNGU alikuwa akiagiza aletewe kilevi. Among the blessings promised to Esau Genesis 27:28 mention is made of "plenty of corn and tirosh." Canaan is called "a land of corn and tirosh" Kumb 33:28 ; Compare Isaiah 36:17 ) Kanaan iliitwa nchi ya ngano na divai(tirosh). Najaribu tuu kuwaza na sioni kama MUNGU angeita kilevi baraka. hahaahaa

YAYIN

Huu ni mvinyo/divai iliyochachuka, ni neno la ujumla wake lakini ili kujua tofauti, mahali popote ambapo MUNGU aliagiza sadaka ya mvinyo au kuagiza mtu atumie mvinyo hajatumia neno YAYIN bali ametumia neno TIYROSH. Hutumika pia kwa jina la MESEKH a properly a mixture of wine and water with spices that increase its stimulating properties. Mifano ya maandiko yanayoongelea YAYIN kama kilevi Isaya 5:22 "The wine [yayin] is red; it is full of mixture [mesekh];" MITHALI 23:29-30 , "mixed wine;" Icho ni kilevi kilichotokana na zabibu na mazao mengine. Na Mungu ameweka marufuku.

Pia Yayin kabla haijachacha kuwa kilevi ilitumika kama juice, ile siku inapokamuliwa toka ktk shinikizo la zabibu(yaani mashine ya kuproces zabibu kuwa divai) ilikuwa ni kijengo cha chini kilichotengenezwa kwajili kuziponda au kuziganyaga zabibu mpk zinakuwa ujiuji na kukamuliwa divai. Ilikuwa ni kazi kubwa kutengeneza divai mpk iwe nzuri na yenye ladha kinywani. Ndo maana Yesu alivyotengeneza divai ktk harusi ya Kana kwa kutumia maji, ilikuwa mujiza na ikawa yenye ladha tamu na nzuri kwa wanywaji. Kwaiyo Yesu hakutengeneza kilevi.

SHEKAR

Hii imetajwa kama kileo chenye nguvu, kilikuwa ni kileo chenye kutengenezwa kwa mchanganyiko mbalimbali, na hii pia ni pombe by origin meaning. Rejea

MUHUBIRI 2:3
ISAYA 5:22
MAMBO YA WALAWI 10:9 , "Do not drink wine [yayin] nor strong drink [shekar];"
HESABU 6:3 ;
WAAMUZI 13:4 - 7
ISAYA 28:7 (in all these places rendered "strong drink").
ISAYA 5:11 ; 24:9 ; 29:9 ; 56:11-12 lees
Mithali 20:1

Mafungu yote hayo yanaonesha divai ya kileo(strong drink) ambayo Mungu alipiga marufuku(Isaya 5:22, Waefeso 5:18). Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu....(Isaya 5:22) Msilewa kwa mvinyo ambao ndani yake kuna ufisadi(Waefeso 5:18)

ASHISHAH

Huu ulijulikana kama mkate wa zabivu, Soma ( 2 Samuel 6:19 ; 1 Nyakati 16:3 ; Hosea 3:1 ), which, however, rather denotes a solid cake of pressed grapes, or, a cake of raisins

UTAJUAJE KUWA HII NI SAHIHI AU SI SAHIHI?

Hata kama huna uhakika wa jambo kama ni sahihi au siyo sahihi basi angalia matunda/matokeo ya jambo lile ndipo utajua kama ni sahihi au siyo sahihi kunywa pombe. Rejea
MITHALI 23:29-35
MATHAYO 7:17-18

Je matokeo ya kunywa pombe ni nini?

Rejea

MWANZO 9:20-23 Nuhu pombe ilimfanya kuvua nguo na kuwa uchi kiasi cha kulaani familia yake.

MWANZO 19:30-36 Lutu pombe ilimfanya kulala na binti zake kiasi cha kuwapa mimba.

MATHAYO 24:45-51/1WAKORINTHO 6:10 Wanywao pombe wataangamia ajapo Yesu.

Nje ya katazo la biblia pombe ni hatari kwa afya yako, na inaleta umaskini na zinaa na uharibu wa jamii na familia. Hosea 4:11

Unaweza kuwa unywi pombe ila unawanunulia wengine pombe, basi tambua una hatari ""imeandikwa "ole wake yeye ampaye jirani yake kileo....Habakuki 2:15

Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye "mvinyo" na mafuta hatakuwa tajiri. Mithali 11:17. 18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; Waefeso 5:18. Ole wao walio hodari kunywa kileo...Isaya 5:22

Amani ya Bwana iwe nawe.
Mkuu mbona unapata taabu sana kuhusu pombe?
Vyote ni vyake na vyote sharti tuvitumie.
Tuliamuliwa tuvitumie na tuvitawale.

Katika Kiswahili hatuna neno mbuzi ambacho ni kifaa bali tuna KIBAOMBUZI.
Ni maneno mawili yaliyoungana kama vile katika kitimoto,njugumawe,nk
 
Mkuu mbona unapata taabu sana kuhusu pombe?
Vyote ni vyake na vyote sharti tuvitumie.
Tuliamuliwa tuvitumie na tuvitawale.

Katika Kiswahili hatuna neno mbuzi ambacho ni kifaa bali tuna KIBAOMBUZI.
Ni maneno mawili yaliyoungana kama vile katika kitimoto,njugumawe,nk
Kenge ,vinyesi ,n.k unabugia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Bible is a self contradictory book, Ila tusiache kuisoma jamani.
 
Huu mstari una maana gani?

Mt 11:19 SUV​

Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.

Juice gani inayolewesha?
Walisema

Hizo Ni tuhuma Tu

Hakuna popote Yesu alikunywa pombe

Au alilewa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom