mwaikenda
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 903
- 141
watu wa mbwinde wakisha kujaga dar basi akili zinachangeHeri mzee Tendwa alifanya kazi nzuri kuliko huyu Fisadi Feleshi. Hela ya EPA imemtakatisha sana, ana utajiri wa kufuru huyu jamaa hawezi tena kutumia weledi. Na yeye Feleshi kama fisadi mwingine anajua CCM ikitoka madarakani rushwa na ufisadi havitakuwa dili na ndo itakuwa mwisho wake, ndo maana anapambana mstari wa mbele pamoja na Mwigulu Savimbi dhidi ya Chadema