Singida -WestMkuu kwani huyo mbunge Kingu ni wa jimbo gani?
Tuweke pembeni tofauti za kisiasa kwenye mambo ya msingi Kingu is right, ameungama jamanIkiwa anaijua kweli tangu awali kwa nn alinyamazia hadi imefikia ukingoni ndo anatoka mafichoni na kuanza kuudurufu ukweli .
unafiki tuuache tuweke misimamo yetu mapema kabla na wasiokua na macho wakaona na wao
maneno mawili yana maaanaYaliyomo yamo
Hata aliyeonja nae kala! Heshima kwako mshana jr.Yaliyomo yamo
Tanzania yetu hiiiNilisema Nitanyamaza lakini Nimeshindwa. Nimethibitisha bila mashaka Clouds kuvamiwa na Rc akiwa na ulinzi na askari wenye silaha mpaka kwenye matangazo.
Najua hofu mliyonayo watanzania juu ya huyu Rc.
Ikiwa mamlaka zitaendelea kufumbia macho.Mimi Elibariki Immanuel Kingu mbunge wa CCM nitakuwa wa kwanza kufukuzwa CCM kama kupinga matendo maovu ya Rc huyu itaonekana ni usaliti kwa nchi.
Haiwezekani Rais wetu atukanwe kila kona kwa matendo ya mtu huyu.
Wana CCM ukimya wetu kwenye hili halikubaliki.
Magufuli juzi ametuliza Dodoma kwa kuongea kwa hisia.Idara za usalama kweli mmeamua kuacha tutukanwe?
Naomba sasa niweke kumbukumbu sawa najua mnamchafua kila anayempinga RC huyu kwa matendo yake ambayo yanakiuka utawala bora.
Naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM kwa kumpinga Rc Makonda
Elibariki Immanuel Kingu
Mbunge.
UbarikiweSingida -West
Kama kawaida yako, muosha viatu kaguswa umekuja harakaharaka.Utakuawaje wa kwanza wakati wako waliofukuzwa kabla ya issue ya Makonda? Wewe jinga mtupu.
Kweli kabisa mkuu ktk vita umoja ni nguvuTuweke pembeni tofauti za kisiasa kwenye mambo ya msingi Kingu is right, ameungama jaman
Hii kauli yako inatakiwa pia ifatwe na wana CCM wengine hasa mawaziri, wabunge, na nk.. Haiwezekani RC afanye vitendo hivi na wanachama wa CCM wasitoe maoni yao eti utakuwa usaliti. Usaliti na haki ya mwanachama kutoa maoni ni vitu viwili tofauti. CCM wanavyoendelea kukaa kimya kwa vitendo kama hivi kwa kumuogopa rais nchi hii itaelekea pabaya. Swala la kuwaadhibu raia kwa kuwa na maoni tofauti halina nafasi 2017.Nilisema Nitanyamaza lakini Nimeshindwa. Nimethibitisha bila mashaka Clouds kuvamiwa na Rc akiwa na ulinzi na askari wenye silaha mpaka kwenye matangazo.
Najua hofu mliyonayo watanzania juu ya huyu Rc.
Ikiwa mamlaka zitaendelea kufumbia macho.Mimi Elibariki Immanuel Kingu mbunge wa CCM nitakuwa wa kwanza kufukuzwa CCM kama kupinga matendo maovu ya Rc huyu itaonekana ni usaliti kwa nchi.
Haiwezekani Rais wetu atukanwe kila kona kwa matendo ya mtu huyu.
Wana CCM ukimya wetu kwenye hili halikubaliki.
Magufuli juzi ametuliza Dodoma kwa kuongea kwa hisia.Idara za usalama kweli mmeamua kuacha tutukanwe?
Naomba sasa niweke kumbukumbu sawa najua mnamchafua kila anayempinga RC huyu kwa matendo yake ambayo yanakiuka utawala bora.
Naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM kwa kumpinga Rc Makonda
Elibariki Immanuel Kingu
Mbunge.