Elia F Michael
Member
- Mar 3, 2018
- 75
- 799
Wakati Halmashauri kuu ya CCM Taifa ilipowasili Busisi ambako pia utawala wa Ndugu yangu Kusheku Msukuma ni Mbunge, Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu yangu Polepole alinisimamisha mbele ya Mkandarasi anaejenga Daraja la Kigongo -Busisi Kilomita 3.2 lenye thamani ya Tsh Bilioni 699 ili anitambulishe kwa Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa.
Najua Wananchi wanaotoka Kigoma kwenda Mwanza wanatumia sana eneo la Busisi. Hii itakuwa taarifa njema kwao kwani itawachukua Dakika 5 tu badala ya masaa 2 kufika Mwanza Daraja hili likikamilika 2023.
Namuomba Mungu anijalie umri zaidi ili niwe sehemu ya Watanzania watakaozindua Daraja hili na kwa hakika picha hizi nitaomba ziwe kwenye Background siku hiyo.
Hisitoria imeandikwa na kutunzwa kichwa ni mwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua Wananchi wanaotoka Kigoma kwenda Mwanza wanatumia sana eneo la Busisi. Hii itakuwa taarifa njema kwao kwani itawachukua Dakika 5 tu badala ya masaa 2 kufika Mwanza Daraja hili likikamilika 2023.
Namuomba Mungu anijalie umri zaidi ili niwe sehemu ya Watanzania watakaozindua Daraja hili na kwa hakika picha hizi nitaomba ziwe kwenye Background siku hiyo.
Hisitoria imeandikwa na kutunzwa kichwa ni mwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app