SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,328
- 2,217
Subiri kidogo Mkuu.
Nafanya compillation.
Wanaoona ni Riwaya ya Abunuwasi wanaweza tafuta thread zingine . . . LOL
Mkuu, Superman!
Endelea kutujuza sie tunaothamini mchango wako, kama ulivyosema hakuna mtu ana lazimishwa kusoma hii thread anaweza kwenda kwingine tena FB huko kuna options nyingi za kupoteza muda.
Hapa JF ni umakini wa taarifa unaotufumbua akili na kutupa upeo wa kufahamu mambo mbalimbali yanayotuzunguka pasipo kusubiria hadithi za kijiweni.