Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,381
I'll just ignore this and act like I believe kuna mtu kakuibia password.:suspicious:Two minutes? Man..I can make those two minutes the best two minutes of your life!!
I'll just ignore this and act like I believe kuna mtu kakuibia password.:suspicious:Two minutes? Man..I can make those two minutes the best two minutes of your life!!
Wacha kutazama K mana ukisha itazama sana inakutia aibu,..wewe chomeka kama vile kipofu, afu chochea ukiona unakaribia kufika kabla ya mwenzako slow down, mpaa akuambie nimeisha fika na wewe jitahidi ufike :A S shade:
Akili za Makalio HiziKonyagi balaa...ukiona mwenzako anatumia, na wewe tumia pia....Otherwise...lol!!
Kazi ipo!!! Kuna mtu anauza dawa za lishe ambazo pia huboresha performance!!! Kama kuna anayehitaji nikupatie namba yake ya cm, just PM me.
Kwenye mada kama hizi mabinti hawa changii kwa wingi/kama sio kutochangia kabisa(tatizo la kitaifa)
hili ni tatizo mtambuka..hivyo kuna nasaha nyingi zimeshatolewa kukabiliana nalo. lkn nasaha ya ukweli kuliko zote, jifunze kamchezo ka BK (katerero).. ukishajua jinsi ya kucheza hiyo BK wakati wa tukio mwenyewe utakubali...nawapa big-up watu wa BK manake bila kaufundi kao, ndoa nyingi zingalikuwa zinachezewa 'offside'
Hili limejadiliwa sana hapa JF.....ivi unashindwaje kukontroo kakitu kadogo kama hako....make ur woman happy bana
The Finest, mimi napingana na wewe hapa...Hebu jaribu kugonga konyagi za kutosha halafu uingie kwenye game uone!!
1. kergel exercise
Habari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8 hazifiki tayari anafika MSHINDO, sometimes he ejaculate during romance, am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'.
Nikimwambia anasema anajitahidi lakin anashndwa nikimshauri aende kwa doctor anasema hawezi kupeleka mambo km hayo hospital......nisaidieni jamani isitoshe 2nampango wa kufunga ndoa lakin mim hata hamu ya NDOA IMEISHA kwa sababu hii.
ukimuacha tunamchukua tunaipaka pilipili na tangawizi inakuwa byeHabari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8 hazifiki tayari anafika MSHINDO, sometimes he ejaculate during romance, am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'.
Ukimuacha tunamchukua tunampaka pilipili na tangawizi atatufaa kweli!!
Nikimwambia anasema anajitahidi lakin anashndwa nikimshauri aende kwa doctor anasema hawezi kupeleka mambo km hayo hospital......nisaidieni jamani isitoshe 2nampango wa kufunga ndoa lakin mim hata hamu ya NDOA IMEISHA kwa sababu hii.
WaliNazi, nadhani watu wameweka standars za mahaba so high kiasi kwamba wanaume wangi wanajikuta below standards wakati it is just normal. Do you know the average sexual intercourse is only 2 min 54 seconds (goal la kwanza)?
Sasa kabla hujapewa msaada please reassess your performance and let us know kama uko chini sana ya hapo. Kumbuka, prematurity is not a matter of how long you hold on before you come, but whether you are able to control the way you do na zaidi whether she is happy that you come at that time (My own definition)
mwambie mnapofanya romance ajaribu kutoa mawazo hapo afikirie vitu vingine itamsaidia kustahamili