Eid Mubarak wote

Sikukuu njema kwako na familia pia Dr.
 
Sawa 🙏🏾

Naona umeamua kunizodoa mbele ya Mheshimiwa Mama Waziri, ningekuzodoa Mimi mbio ungeenda dawati la maendeleo, jinsia, wanawake na watoto kushtaki. Na wakati nimejitahidi kuonesha Nia njema kabisa.

Endelea kudharau usiowajua. Najua confidence zote hizo kisa Mama Waziri yupo hapa. Sawa 😭👍🏾
We nawe Kwender wa kuoa utakuwa wewe? 😏😹
 
Mkuu msamehe ili muyajenge uchukue chombo hicho tule harusi wanaJF, na Mama Waziri awe mgeni rasmi ili apige msumali vizuri kwa team kataa ndoa, yeye ni mfano mzuri wa kuiga.
 
Mh. Huyu ndiyo yule mlikuwa mnapiga naye nyungu enzi zileee?😁😁
 
Mama Dkt. Gwajima D Asante kwa mualiko, ila me nina njaa. Tena siyo ya ubwabwa
 
Mama unazingua sasa, mbona hamjavaa swimming costumes na bikini?
 
Download memory yako, au imezidiwa mambo....😥
RAM imejaa😅😅😅
Ila mnapendeza sana Madam na Inlike the way you feel proud of him...unatufundisha sisi wengine kuwapenda sana wenzi wetu. Hongera sanaaa👏🏿👏🏿👏🏿
 
RAM imejaa😅😅😅
Ila mnapendeza sana Madam na Inlike the way you feel proud of him...unatufundisha sisi wengine kuwapenda sana wenzi wetu. Hongera sanaaa👏🏿👏🏿👏🏿
👋👋👋 Tuendelee kushirikiana.....
 
Maza
Mawaziri wote wangekuwa simple kama wewe nchi yetu ingekuwa pahala pazuri sana,, hongera mh,, msalimie sana mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…