popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,622
hakuna tofauti kati ya unayoita maswali yako na alichoandika mkuu hapo juu.swali lakobnibkm umehamisha swali hoja alilotoa unaedhani unamuuliza.ie.akili ya uvumbuzi ya waafrika ulipotelea wapi.hebu wacha ubishi usio na tija ww, hebu nijibu na haya ,karne ya 15 sudan ilikuwa na kiwanda cha pamba bora kuliko vyote duniani kwa wakati huo, ucsahau pia hukohuko sudan kulikuwa na wahunzi bora ambao dunia haijapata kushuhudia mpaka leo, swali rahisi tu wamepotelea wapi,ama ilikuwaje, ukiweza jibu hayo tutaendelea, maana huwa mnashangaza nyie watu, huko shule sijui mlienda kusomea ujinga kama asemavyo dada yangu faiza
tafuta swali lako lingine na uulize tena bila maneno ya dhihaka na kashfa.