Egyptians didn't build Pyramids, Aliens did

Egyptians didn't build Pyramids, Aliens did

Acheni kubishana bishana hayo majengo yamejengwa na mtu mmoja aitwaye Hunzi bin Hunuzi alikuwa jitu kubwa Sana unyayo wake mmoja upo Mtwara na wmingine upo Lindi
 
Kuhusu asili ya waebrania; wao ni semitics asili sawa na waarabu na watu wengine wa mashariki ya kati
Kwa hiyo kumbe waebrania mpaka wanakua watumwa tayari pyramids zilishajengwa.kumbe ingekuwa amri yao wangesema zimejengwa na hao watumwa.
 
Hao ellians watarudi lini tena maana ni karne nyingi zinepita tangu hizo piramid ziwepo.
 
Tena michoro haiku ignore rangi ya ngozi ya wajenzi. Na rangi ndio tatizo wazungu wanashindwa kucome into agreement with it that black men did it, they even tried to destroy the bantu's nose and lips on those huge statues, you can see the destruction, fortunately them rocks were hard as steel, they couldn't wipe all the nose and lips of all the statues that extended to southern Sudan.
And this is why wanakuja na masuala ya aliens, Jews etc. Stupid scared deceivers
Umeandika ukweli kabisa. Kuna mtafiti kutoka Senegal, somebody Dr Diop, alifanya utafiti na kutoa sababu 10 na ushahidi kuwa Pharaos were blacks. But whites wanajitahidi kupita huu ukweli, sasa hivi wanasema Egyptians where not whites nor blacks. Aliwashinda kwa hoja huyu mtafiti, lakini wameenda mbali na kujitahidi kuficha haya maarifa na kuua kabisa suala zima la Afrocentrism. Inasikitisha sana.
 
Umeandika ukweli kabisa. Kuna mtafiti kutoka Senegal, somebody Dr Diop, alifanya utafiti na kutoa sababu 10 na ushahidi kuwa Pharaos were blacks. But whites wanajitahidi kupita huu ukweli, sasa hivi wanasema Egyptians where not whites nor blacks. Aliwashinda kwa hoja huyu mtafiti, lakini wameenda mbali na kujitahidi kuficha haya maarifa na kuua kabisa suala zima la Afrocentrism. Inasikitisha sana.
Not only that.. Wazungu walijitahidi sana kuficha ukweli kuwa majengo ya mawe ya Great Zimbabwe yalijengwa na waafrika. Tena serikali ya Smith wakati huo ililazimisha wana akiolojia kusema yalijengwa na watu wa Asia. Ingawa ukweli ulijulikana baadae ila mpaka leo wazungu hawataki kuamini kuwa waafrika ndio chanzo cha binadamu na elimu.

Piramidi zilijengwa na waafrika.. Na kwa kuwa waMisri wa kale hawakutaka kuficha rangi yao hata michoro inaonyesha walikuwa watu weusi. Tena farao aliyeunganisha Misri ya kaskazini na kusini alikuwa Mnubi wa Sudan.

Kinachowauma zaidi wazungu ni kuwa elimu yao imetokana sana na elimu ya kale ya wagiriki.. Na wagiriki walifundishwa hekima na wamisri. Rejea pythogas theorem.
 
Watu wameanza kuleta ligi ya mtu 'mweusi' na mzungu badala ya kujadili hoja za ujenzi wa pyramids, kama walijenga aliens au mwafrika awe wa kahawia, wa manjano au mweusi it doesn't really matter, swali ni when, how and why?
 
Not only that.. Wazungu walijitahidi sana kuficha ukweli kuwa majengo ya mawe ya Great Zimbabwe yalijengwa na waafrika. Tena serikali ya Smith wakati huo ililazimisha wana akiolojia kusema yalijengwa na watu wa Asia. Ingawa ukweli ulijulikana baadae ila mpaka leo wazungu hawataki kuamini kuwa waafrika ndio chanzo cha binadamu na elimu.

Piramidi zilijengwa na waafrika.. Na kwa kuwa waMisri wa kale hawakutaka kuficha rangi yao hata michoro inaonyesha walikuwa watu weusi. Tena farao aliyeunganisha Misri ya kaskazini na kusini alikuwa Mnubi wa Sudan.

Kinachowauma zaidi wazungu ni kuwa elimu yao imetokana sana na elimu ya kale ya wagiriki.. Na wagiriki walifundishwa hekima na wamisri. Rejea pythogas theorem.
Wamisri wao walifundishwa na nani ustaarabu wao?
 
Wakuu nilikuwa sifahamu kumbe pyramid zimejengwa na Blacks?

Nilikuwa najiuliza jinsi waebrania walivyokuwa na miili dhaifu+uvivu,wangeweza kweli kujenga structure kama zile?

Nasikia hata taa(light bulb) Haikugunduliwa na Thomas Edison bali Mbantu fulani aliyeipeleka hiyo knowledge misri
 
Wanasema allien mmoja ana uzito wa kg 650 sasa hapo ina maana hakufa hata mmoja na kuvukuliwa tumuone.

Egyptian wenyewe ndio walijenga pyramids story zingine tutaendelea kuzisikia tu kila siku
Watu wa Hud-1 Qur'an.JPG
 
Wakuu nilikuwa sifahamu kumbe pyramid zimejengwa na Blacks?

Nilikuwa najiuliza jinsi waebrania walivyokuwa na miili dhaifu+uvivu,wangeweza kweli kujenga structure kama zile?

Nasikia hata taa(light bulb) Haikugunduliwa na Thomas Edison bali Mbantu fulani aliyeipeleka hiyo knowledge misri
Pyramids zipo mpaka Sudan na Ethiopia, kama ni swala tu na mtu mweusi kujenga pyramids basi hizo za huko zinamaliza mjadala kuhusiana na ushiriki wa mtu mweusi kwenye kujenga pyramids
The question in hand, however, is the three pyramids in Giza
 
Pyramids zipo mpaka Sudan na Ethiopia, kama ni swala tu na mtu mweusi kujenga pyramids basi hizo za huko zinamaliza mjadala kuhusiana na ushiriki wa mtu mweusi kwenye kujenga pyramids
The question in hand, however, is the three pyramids in Giza
Hizo 3 pyramids at Giza Tukisema walijenga binadamu.. Tunajua walijenga kwa sababu gani.

Tukisema walijenga aliens..... je walijenga kwa sababu gani?
 
Hizo 3 pyramids at Giza Tukisema walijenga binadamu.. Tunajua walijenga kwa sababu gani.

Tukisema walijenga aliens..... je walijenga kwa sababu gani?
Huko nyuma nimeuliza sio sababu tu za ujenzi, bali zilijengwaje/how na zilijengwa lini, na tuongezee na nani?

Ambao wana uhakika kuwa zilijengwa na mtu mweusi, watusaidie zilijengwa lini, how na kwa nini?

Mtoa mada kasema zilijengwa na aliens lakini hajatuambia kwa nini hawa aliens walijenga hiyo mijengo? Waliijenga lini?
 
Pyramids zipo mpaka Sudan na Ethiopia, kama ni swala tu na mtu mweusi kujenga pyramids basi hizo za huko zinamaliza mjadala kuhusiana na ushiriki wa mtu mweusi kwenye kujenga pyramids
The question in hand, however, is the three pyramids in Giza

Mkuu hizo pyramids za Giza zilijengwa miaka 4500[?] iliyopita kama sijakosea
Kitu ambacho
Egyptologist hawakijua ni Jinsi gani hizo pyramids zilijengwa au Elimu iliyotumika kuzijenga

Sasa wahuni fulani wanaingizia nadharia zao za Aliens

Mimi naamini wamisri wenyewe ndo waliyojenga hizo pyramids
Hawa watu walikuwa na Maarifa mengi

Zamani huwezi kuitwa Mwanafalsafa bila kupitia Misri
Wanafalsa karibia wote wa kigiriki walipitia Huko

Mi sioni hii concept ya Alien inaingiaje hapa.
 
Mkuu hizo pyramids za Giza zilijengwa miaka 4500[?] iliyopita kama sijakosea
Kitu ambacho
Egyptologist hawakijua ni Jinsi gani hizo pyramids zilijengwa au Elimu iliyotumika kuzijenga

Sasa wahuni fulani wanaingizia nadharia zao za Aliens

Mimi naamini wamisri wenyewe ndo waliyojenga hizo pyramids
Hawa watu walikuwa na Maarifa mengi

Zamani huwezi kuitwa Mwanafalsafa bila kupitia Misri
Wanafalsa karibia wote wa kigiriki walipitia Huko

Mi sioni hii concept ya Alien inaingiaje hapa.
Mkuu we mwenyewe huna uhakika wa mwaka gani zilijengwa, na dunia nzima bado inabahatisha tu kuhusu lini hii mijengo ilijengwa. Haya mapiramidi ni one the greatest mysteries hapa duniani

Miaka ya nyuma na mie niliamini kwamba Egypt ilikua chanzo cha ustaarabu wote wa mwanadamu, lakini kila siku nakutana na vitu vipya Mkuu. Kwa mfano tu, ustaarabu wa wamisri kwa kiasi kikubwa ulitokea Babeli na Sumer

Kwa hiyo kwa sababu kina Plato, Pythagoras na Aristotle walitembelea Egypt haiprove chochote kuhusiana na nani alijenga pyramids. Ukiiangalia Greece ya leo huwezi amini kama ndio kiini cha western philosophy na ustaarabu kwa ujumla, kama Greece ya juzi tu hapa iko hoi namna hiyo, je itakuaje kwa Mesopotamia?

Na kuongezea Mkuu, ustaarabu wa kale kabisa wa mwanadamu ulifutwa na the deluge, without it may be leo hii tungeshangazwa na ustaarabu wa hali ya juu wa watu wa Babeli na Sumer
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom