Egyptians didn't build Pyramids, Aliens did

Egyptians didn't build Pyramids, Aliens did

There is no actual evidence that aliens built the pyramid.

What is provided is not evidence, it is just ignorance and supposition of ignorance.
Hahahahahahaaaaa!!!!
 
black sniper hawa watu walikuwepo Duniani !
View attachment 320140

'Mnaona ajabu (mimi Hud ) kukufikishieni mawaidha yanayotoka kwa Mola wenu Mlezi kwa mtu aliye mmoja wenu nyinyi ili akuonyeni ? Kumbukeni alivyokufanyieni (Mwenyezi Mungu) mshike pahala pa kaumu (watu) wa Nuhu, na akakuzidishieni katika umbo. Basi zikumbukeni neema za Mwenyezi Mungu ili mpate kufanikiwa.
Qur'an: 7:69.
shukrani bro, waongezee na sura ya 11, suurat huud
 
kwanza niwape maana ya neno alien naona wengi hawafaham
alien 1. A person who comes from a foreign country; someone who does not owe allegiance to your country
2 . Being or from or characteristic of another place or part of the world.
3. Anyone who does not belong in the environment in which they are found
4. A form of life assumed to exist outside the Earth or its atmosphere
so unapoongelea alien uelezee unaelezea kwa mtizamo upi. any body anaweza kwa alien ikiwa anaishi kwenye nchi ambayo si mzaliwa wa hiyo nchi. mimi ni alien kwa hii nchi nliyopo.
mjadala wa rangi sioni kama una umuhimu hapa kwa sababu kwanza Egypt si weusi kusema kuwa ndo maana wazungu wanawachukia but hata kama ni waarabu au weusi walijenga so what? ile akili waliyotumia kujenga pyramids baadaye ikapotelea wapi? au ilichukuliwa na wazungu tena? ki ukweli kwa uwezo w kujenga zile pyramids inaonesha kulikuwa na akili za zaida swali ni kuwa wat happened mpaka tukashuka tena kiakili mpaka sasa kutegemea wazungu watuanzishie kila kitu? asilimia 90 ya vifaa tunavyotumia si kutoka afrika na asilimia 95 si asili ya afrika kwa maana hata kama kwa sasa vinatengenezwa afrika basi mashine zke ni kutoka nje na si made in afrika full suit.
we huoni ? asilimia 90 ya nguo wanazovaa hata viongozi wetu zinatoka ulaya. unakataa angalia kanzu nzuri,suit nzuri, viatu,sandals n.k utakiri kama si ulaya ni marekani na asia pia kwa sasa.
akili za waafruka zilipotelea wapi? hili ni swali ninalojiuliza kila mara wat happened? napenda kujivunia sana uafrika wangu lakini nakosa kitu cha kujivunia mbele ya mzungu. sina. asilimia 90 ya tunavyojivunia afrika ni vitu ambavyo villitokea au vilikuwepo kiasili. sasa tuchunguze hili la pyramids na tupate uhakika ili nasi tuwe na jambo la kujivunia ikiwa lengo letu ni kuitukuza rangi yeu nyeusi au akili yetu. kwa akili sisemi waafrika hawana akili. ila nauliza akili za mwafrika zimemsaidia nini yeye na jamii yake kwa ujumla? kwenye kurahisisha maisha nk.
then hizo habar za aliens.
hebu wacha ubishi usio na tija ww, hebu nijibu na haya ,karne ya 15 sudan ilikuwa na kiwanda cha pamba bora kuliko vyote duniani kwa wakati huo, ucsahau pia hukohuko sudan kulikuwa na wahunzi bora ambao dunia haijapata kushuhudia mpaka leo, swali rahisi tu wamepotelea wapi,ama ilikuwaje, ukiweza jibu hayo tutaendelea, maana huwa mnashangaza nyie watu, huko shule sijui mlienda kusomea ujinga kama asemavyo dada yangu faiza
 
afadhari mimi nlienda kusomea ujinga wewe inaonekana unaogelea na umekulia kwenye upumbavu. unazungumzia historia. WALIKUWA....... wako wapi sasa? na huu ndo msingi wangu wa hoja zangu zote. mla mla leo mla jana kala nini? walikuwa walikuwa then what happened? huo ndo upumbavu ninao usema na miafrika ilivyo mijinga inaona ni sifa kujisifia failures nawe inaonekana umekulia kwenye upumbavu.afadhari mimi sikuwa na ujinga ila nimeenda kusoma ili niupate. wewe umezaliwa na upumbavu. afrika kila kiti kilikuwa kizuri miaka ya nyuma nini kikatokea? ni bara maskini ,lenye machafuko, viongozo mafisadi,wezi n.k hakuna tunalovumbua.


hebu wacha ubishi usio na tija ww, hebu nijibu na haya ,karne ya 15 sudan ilikuwa na kiwanda cha pamba bora kuliko vyote duniani kwa wakati huo, ucsahau pia hukohuko sudan kulikuwa na wahunzi bora ambao dunia haijapata kushuhudia mpaka leo, swali rahisi tu wamepotelea wapi,ama ilikuwaje, ukiweza jibu hayo tutaendelea, maana huwa mnashangaza nyie watu, huko shule sijui mlienda kusomea ujinga kama asemavyo dada yangu faiza
 
Watu bwana hamuishi kupinga. Hata maandiko wameandika hayo mambo bt bado mnapinga. (Ant christ )
 
afadhari mimi nlienda kusomea ujinga wewe inaonekana unaogelea na umekulia kwenye upumbavu. unazungumzia historia. WALIKUWA....... wako wapi sasa? na huu ndo msingi wangu wa hoja zangu zote. mla mla leo mla jana kala nini? walikuwa walikuwa then what happened? huo ndo upumbavu ninao usema na miafrika ilivyo mijinga inaona ni sifa kujisifia failures nawe inaonekana umekulia kwenye upumbavu.afadhari mimi sikuwa na ujinga ila nimeenda kusoma ili niupate. wewe umezaliwa na upumbavu. afrika kila kiti kilikuwa kizuri miaka ya nyuma nini kikatokea? ni bara maskini ,lenye machafuko, viongozo mafisadi,wezi n.k hakuna tunalovumbua.

Umesoma historia ya Babylon?
 
afadhari mimi nlienda kusomea ujinga wewe inaonekana unaogelea na umekulia kwenye upumbavu. unazungumzia historia. WALIKUWA....... wako wapi sasa? na huu ndo msingi wangu wa hoja zangu zote. mla mla leo mla jana kala nini? walikuwa walikuwa then what happened? huo ndo upumbavu ninao usema na miafrika ilivyo mijinga inaona ni sifa kujisifia failures nawe inaonekana umekulia kwenye upumbavu.afadhari mimi sikuwa na ujinga ila nimeenda kusoma ili niupate. wewe umezaliwa na upumbavu. afrika kila kiti kilikuwa kizuri miaka ya nyuma nini kikatokea? ni bara maskini ,lenye machafuko, viongozo mafisadi,wezi n.k hakuna tunalovumbua.
teh, teh, teh, ... .. .ndugu Sodoku, UKISAHAU ULIPOTOKA UTAPOTEA UNAPOKWENDA .

na hapo ndio kuna ulazima wa historia
 
You know those big stone structures out in Egypt? The ones which were supposedly built to house the remains of dead pharaohs??? The ones you thought were built by the Egyptians?Well, you are wrong!THEY WERE BUILT BY ALIENS!Let's take a look at some undeniable evidence....
First, look at this diagram:

NileDelta.gif

The pyramid is highlighted in red, and its two diagonals are extended beyond the end of the pyramid to the north-east and north-west. The mass of squiggly lines above the pyramid is the Delta of the Nile River, and, as you can see the two diagonals encase theNile neatly and entirely. IS THAT A COINCIDENCE???

Yes, I'm sure that the way the Egyptians did this was to ha ve someone walk hundreds of miles to the end of the delta and hold a really, really long piece of string while someone walked all the way back to the site of the pyramid. Then, those two people stood there while two more people repeated the process on the other side of the Pyramid. Just so that they could build a big building in such a way that its diagonals lie on those two lines.

NOW THAT IS LIKELY????
Here is what really happened: A couple of aliens, flying high enough over the earth to be able to see where the Nile Delta's origin is, easily saw what orientation the pyramid would need to be in order to have its diagonals lie on those two lines.




Second piece of evidence:
north.gif
The big dark shape on the upper left of this diagram is the great pyramid. If you look at the compass rose in the bottom right, you can see that the pyramid is lined up exactly with the magnetic North Pole, a difference of only 16 minutes, or some absurdly small number like that (there are 60 minutes in one degree). COINCIDENCE? How could the Egyptians possibly have built their pyramid facing the exact magnetic North Pole without even having a compass? FYI, a compass was not invented for a few thousand years after the ancient Egyptians were long gone? IS THAT LIKELY????

This is how it really worked: Those aliens, abundant in their knowledge and drowning in technology, came along and using their compasses, they landed on earth and found the actual magnetic north and south poles. THEN THEY BUILT THE PYRAMIDS!


Now look at this:
sunsym.gif
This is a photograph of the Great Pyramid of Giza, and its neighbor, as seen from the Sphinx, on the evening of the summer solstice. As you can see, the sun is setting in the exact center of the two pyramids. COINCIDENCE???

For the Egyptians to be able to do this, they must have known the day of the summer solstice, and they therefore, must have known the exact length of the year, or 365.25; once again, a fact not discovered until long after the Egyptians were gone. HOW LIKELY IS THAT???

The real story goes like this: Those meddling aliens, in all of their infinite wisdom, saw the earth upon entering the solar system, and by calculating the size of its revolutions around the sun, the velocity it was at which it traveled and the angle of its axis of rotation, they were able to easily calculate the longest day of the year or the length of the year.

THEN BUILT THE PYRAMIDS!


Here is another photo:
suntrace.gif
This is a photograph taken on the day of the winter solstice from the entrance of the Great Pyramid. The Big shape silhouetted in the middle of the photograph is the Sphinx. Since this is only a photograph, and not a movie, you can't get the full effect. But even in the photo, you can see that the sun is tracing around the Sphinx's head. In actuality, the sun rises exactly at the left side of the base of the Sphinx's head. Then it traces it all the way around until it sets on the right side of the Sphinx's head.

COINCIDENCE???
Had the Egyptians done this, since this occurs only on the day of the winter solstice, they would have had to have known the exact length of a year.

IS THAT LIKELY???
It's those aliens, who after finding the length of the year, found the shortest day of the year, and then built their Sphinx and Pyramid accordingly.


Consider this:
orion.gif
This above image is a diagram of the stars of the Belt of Orion. Now look at the diagram of the pyramids below.

Though this fact is not as remarkable, the positioning of the three Pyramids of Giza are exactly aligned with the position of the three stars in the belt of Orion, both in position and in size. While it is possible, it would create many difficulties for the Egyptians in terms of measuring huge distances.

Not only this, but in fact, at the time that the pyramids were supposedly built (about 3000 BC), the stars that make up the Belt of Orion were not exactly at the correct angle to match up with the pyramids. If the location of the stars is traced back over thousands of years, the time at which the belt is exactly aligned with the pyramids is in fact 10,500 BC. A time when there were supposedly no
civilized

orionline.gif
humans living on the earth. Another fact to support this is, if you consider the Sphinx, a lion with a human head and then look at the size of the body, you can see that the body is perfectly proportioned for the head of a lion, not the human head. This human head looks tiny and silly sitting on top of the body. This is because the Sphinx was actually built in 10,500 BC, around the same time as the pyramids, with a real head of a lion. Evidence to support this is that there are signs of water erosion all over the Sphinx. The last time that there was any water nearby, aside from the Nile is around 10,000 BC. Also, the constellation of Leo the Lion (thus closely related to the Sphinx), was in fact rising directly behind the sun in 10,500 BC.

Are they saying that the Egyptians built their pyramids to be in the exact shape of Orion's Belt, but purposely aligned them differently from what was actually in the sky? That after they built the Sphinx, they purposely made the head look small and funny? Then, they broke their backs carrying water from the Nile just so that they could put water erosion lines all over the body?

In fact, no Egyptian did it at all. The aliens, with their plethora of wisdom, came down in the year 10,500 BC and built the Pyramids and the Sphinx. They built it with a head of a lion to match the Belt of Orion, as well as the constellation of Leo.

Thousands of years later, Ramses, the egomaniacal dictator-pharaoh of Egypt, decided that he didn't like having the head of a lion on top of the statue in his land. So, he had a head in his own likeness constructed instead. But the Egyptians, not being very skilled at huge masonry, built the head somewhat too small.

Why is it that the great Pyramids of Giza, built in 3,000, are perfect, and still standing as tall as the day they were built? (Aside from the capstone and the polished stones, which were stripped by humans in the building of Cairo) The other Pyramids, which were supposedly built about 500 years later, all have shoddy masonry, and are crumbling down. An example of this is the famous 'bent' pyramid, which started out with the sides being built at one angle, then suddenly shifts in the middle to a shallower angle.

This is because the angle at which it was started was much too steep for it to stand when finished. It is because the Egyptian pharaohs saw the great pyramids standing on their land and decided that they wanted pyramids of their own.

But they found that it was much harder to do than was expected and ended up building silly looking structures that don't even come close to comparing with the magnitude of elegance emanating from the great pyramids.

Other startling evidence:
If you take the perimeter of the pyramid and divide it by two times the height, you get a number that is exactly equivalent to the number pi (3.14159...) up to the fifteenth digit. The chances of this phenomenon happening by sheer chance is remarkably small. Did the ancient Egyptians know what the number pi was? Not likely, seeing as it was a number not calculated accurately to the fourth digit until the 6th century, and the pyramids calculate it to the fifteenth.

What about the fact that even though the sides of the base of the pyramid are some 757 feet long, it still forms an almost perfect square? Every angle in the base is exactly 90 degrees. In fact, the sides have a difference in length of something like two centimeters, which is an incredibly small amount.
What about the fact that although the Egyptians kept very careful records about everything they ever did; every king they had, every war they fought, and every structure they built, there were no records of them ever having built the pyramids?

What about the fact that the Egyptians had not even invented the wheel yet, but the blocks that they had to carry to build the pyramids weighed about 2 tons each? 4,000 lbs.? What did they do... use cement? In fact, they used so much stone, that if you took all of the stone they used and cut it into 1 foot square blocks, it would extend 2/3 of the way around the earth!!!

If you take the line of longitude that the pyramid lies on and the latitude that the pyramid lies on, 31 degrees north by 31 degrees west (the fact that they are the same number is a coincidence???) they are the two lines that cover the most combined land area in the world. In essence, the pyramid is the center of all of the land mass of the whole earth!!!!
How about the fact that a group of modern scientists attempted to build a pyramid out next to the real one using modern technologies, and after something like 100 days, succeeded in building one about 1/40 of the size of the real one????
Did you know that the height of the pyramid (481 feet) is almost exactly 1/1,000,000,000 of the distance from the earth to the sun (480.6 billion feet)?
The planet Earth is say 7 billion years old. Homo sapiens has been on this earth for at least 5 million years with the fully developed brain. Yet, to say that he invented technology in just last couple hundred years is naïve. But that is what has been taught in school. Pyramids are found across all continents. There also are huge man made structures in the sea constructed whilst the coastlines were different. Obviously this is evidence of far more advanced humans during ancient times. Undeniably, those who constructed pyramids were much more technologically advanced than us.
 
Wanasema allien mmoja ana uzito wa kg 650 sasa hapo ina maana hakufa hata mmoja na kuvukuliwa tumuone.

Egyptian wenyewe ndio walijenga pyramids story zingine tutaendelea kuzisikia tu kila siku
hivi ni egyptians ama ni watumwa walopelekwa ndo walijenga.
ama unamaanisha ma engineer siyo.ma eng mm najua walikuwa wamisri na manyapara wa kiyahudi walowasimamia watumwa na kuwaelekeza cha kufanya.
 
Waebrania sio waafrika, sababu ya kuweka hiyo ni kuondoa dhana kwamba labda waebrania ndio waliojenga mapiramidi, waebrania walifika Misri miaka kafdhaa baada ya mapiramidi kujengwa
na vp wamisri weusi.kizazi cha watumwa.mi nnajua eti watumwa wakisimamiwa na ma eng wa kimisri ndo walijenga hizi makitu.
na watumwa walikuwa hebrues na baadhi ya bantu toka etiopia.
 
swali la kizushi.
km ni ALIENS ndo walijenga hizo makitu kwa nn iwe misri maana si pahala wanaishi wao.
na kwa nn iwe makaburi ya mafarao.ama ndo kusema wamisri waliwakodi ma eng wa ki aliens kuja kuwajengea makaburi mafarao?.ama mnataka kusema.mafarao walikuwa na uhusiano ama na asili ya hao viumbe?.
 
Yeah we are not alone and Im great beliver of that thing.Aliena are exist but who are they?They are demons.......they cevilesed first than us
Do more reaserch and read more.
 
Ni vile tu kwamba mapiramidi yapo na yanaonekana vinginevyo, ukisoma sources mbalimbali kuhusu mapiramidi na ni namna gani yalijengwa basi bila shaka mapiramidi nayo yangeingia kwenye kundi la simulizi za kusadikika!!! Yaani kama ingekuwa ndo tunaambiwa tu kwamba hapo kale palikuwa na mapiramidi sawa na tunavyoambiwa simulizi za miji ya Sodoma na Gomola basi si ajabu sie wengine tuliozaliwa tukiwa na muhuli wa ubishi utosini wala tusingeamini uwepo wa hayo madubwasha!!

Ni bahati kwamba hadi kesho yapo lakini hakuna andiko hata moja ambalo as of now limetoa jibu with confidence... ya namna gani yalijengwa!! Na hapa nazungumzia hata yale maandiko ya kitaalamu!! 3-6 months ago zilipatikana findings zingine za ukubwa wa mawe ambayo yalitumika!! Walipojiuliza mimawe hii ilibebwabebwa vipi; hapakuwa na hoja yoyote ambayo hata wao wenyewe(wagunduzi) iliwaingia akilini!!! Kutokana na mkanganyiko huu unaoshindwa kutoa majibu ya exact science ndio maana wengine wanaishia ku-abuse human power na kuhusisha "viumbe" kama aliens na wale viumbe ambao tunaambiwa walikuwa ni malaika ambao walidondoka duniani thousands of years ago!!!

Waafrika na sisi hivi sasa tumeanzisha mtindo kwamba haiwezekani Wazungu(watu weupe) kila kitu wajipendelee wao.... Yesu, wao... Nabii Musa, wao... Muhammad, wao.... na mapiramidi nayo, wao-- haiwezekani!! Mapiramidi yalijengwa na watu weusi!! Yaani weusi wale wale ambao vitukuu wao waishio karne ya 21; wakijenga nyumba kwa kutumia akili zao wenyewe basi hata uwezo wa kuhimili mvua hazina lakini miaka elfu kadhaa iliyopita waliweza kujenga mapiramidi-- acheni utani bhana.
 
hivi ni egyptians ama ni watumwa walopelekwa ndo walijenga.
ama unamaanisha ma engineer siyo.ma eng mm najua walikuwa wamisri na manyapara wa kiyahudi walowasimamia watumwa na kuwaelekeza cha kufanya.
Walikuwa ni Egyptian waliojenga ila walikuwa na akili sana na walikuwa wakubwa yaani miamba ya uhakika

Ninaposema walikuwa na akili sana nina maana walianzisha na kubuni vitu vingi sana ambapo dunia inawathamini kwa mchango wao
 
Kuna wengine bado wanaendelea kuamnini kuwa Dunia na vitu vyake vyote vilitengenezwa kwa Siku Sita tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom