eFootball Special Thread

Confession of madman Dizasta Vina
Nikamwambia "mbona una kasi ya jini?
Akacheka, akasema "brother wasi wa nini?" Akideka
"We ni handsome, na pia ni mpole
Mchizi ka' wewe unahitaj manzi ka' mimi" nikawaza

Alikuwa ana 'summer body times two
Mi' machoni nilimtamani ila ni nafsi tu
Ndo' inagoma akanishika sikio akanong'ona
Kwa mahaba akisema "dude i love you

And then she called me names, mara 'Babes
Mara 'Boo boo
Akipitisha nails kwenye chuchu ah
Hata waungwana kwenye meza ya pembeni wakashangaa
Wakauliza "damn bro una juju
 
Chupa moja ya ziadaπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…