Nikamwambia "mbona una kasi ya jini?
Akacheka, akasema "brother wasi wa nini?" Akideka
"We ni handsome, na pia ni mpole
Mchizi ka' wewe unahitaj manzi ka' mimi" nikawaza
Alikuwa ana 'summer body times two
Mi' machoni nilimtamani ila ni nafsi tu
Ndo' inagoma akanishika sikio akanong'ona
Kwa mahaba akisema "dude i love you
And then she called me names, mara 'Babes
Mara 'Boo boo
Akipitisha nails kwenye chuchu ah
Hata waungwana kwenye meza ya pembeni wakashangaa
Wakauliza "damn bro una juju