Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Efm ipo dar tu af Cloud FM nchi nzima
Kwa hiyo bado unataka ujue nan anasikilizwa
Kwa hiyo bado unataka ujue nan anasikilizwa
Kuwa nchi nzima siyo kigezo cha kusikilizwa.Na hata ukisikilizwa,inategemea unasikilizwa na watu wa makundi gani na ni vipindi gani hasa vinasikilizwa.Mimi hizo radio stations huwa nasikiliza vipindi vya michezo tu!Kwa ushindani uliopo sasa ni vigumu sana kuwateka wasikilizaji saa 24.Wananyang'anyana wasikilizaji kwenye baadhi ya vipindi.Efm ipo dar tu af Cloud FM nchi nzima
Kwa hiyo bado unataka ujue nan anasikilizwa
Hii forum mi nimgeshauri melo atoe watu usafi ufanyike maana kumawatu humu sijui huwa hawaelewi we mtu kashasema coverage area hatuangalii we unakuja na upogba wako apaisikike dar tu harafu iishinde radio inayosikika karibu nchi nzima ?
Kama kutamka r ni shida hadi kuandika pia au ni kiswahili cha darradio zote mbili zina sikika nchi nzima kupitia online... usikalili njia moja ya kulushia matangazo zipo njia nyingi sana
Dio wote wanasikiliza online mkuuradio zote mbili zina sikika nchi nzima kupitia online... usikalili njia moja ya kulushia matangazo zipo njia nyingi sana