Hivi umekielewa ulichokiandika? jitahidi sana kutumia hiyo akili yako kidogo uliyonayo kuandika mambo ya maana na sio kuandika ujinga ambao unaidhalilisha familia yako. CDM kwa mada hii kuna sehemu wanahusika?kwani sheria inasemaje? tatizo hawaongi? viongozi wa ccm rukwa wanataka kula. kama ni kukata watu masikio kwani kwa nini haichukui mkondo wake? tatizo jingine ni chadema tangu tuanze kuwasikia viongozi wetu wanasumbuka sana na kufikia hata kula hadharani. natamani chadema ifilie mbali.
Siyo upinzania ni kukosoaUtendaji wa Kinana hauna tofauti na utendaji wa wapinzani.Kile ambacho kinatakiwa kifanywe na wapinzani yeye ndiye anacho kifanya.Anafanya Kazi ya kuipinga serekali utafikili kilichofanyika hakijafanywa na serekali yake.Kinana atakuwa ana kiandaa chama chake ili kitakapo kuwa chama pinzani kisipate shida ya kuipinga serekali itakayo kuwa madarakani kipindi hicho.
mwingira ni mjasiriamali wa kidini.
Mkuu KINANA sio KINENA!kwa baadhi ya waswahili KINENA ni kisemeo na maana nyigine kifaa cha burudani za kiutu uzima!Kama kuna mtu ana account ya Kinena ya FB au Twitter mtumpieni hii picha.
Kinena hajawahi kuongea pointi hata siku moja!
Kinena ni mtu aliyelewa na madaraka na Fedha za kifisadi zinazotokana na uuzaji wa Pembe za ndovu. Efatha wanatakiwa kumpuuza!
mwingira ni mjasiriamali wa kidini.
Mkuu KINANA sio KINENA!kwa baadhi ya waswahili KINENA ni kisemeo na maana nyigine kifaa cha burudani za kiutu uzima!
Nadhani nimekupata(kicheko)!124 Ali;
Uko sahihi kabisa Mkuu. Kinana ni jina la mtu, tena mtu mwenye akili zake timamu. Lakini huyu Kinana wa CCM
Huyu Mwingira anafahamika na serikali sijui kama Kinana ameona hii kitu
Mtume na Nabii Josephat Mwingira asaidia maendeleo mkoa wa Rukwa
30/05/2009 by Strictly Gospel
22
Rais Jakaya Kikwete akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa kiongozi wa kanisa la Efatha nchini, Mtume na Nabii, Josephat Mwingira katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Maendeleo wa Mkoa wa Rukwa iliyoongozwa na Rais kwenye hoteli ya Kilimanjaro- Kempinski jijini Dar May 27, 2009. Zaidi ya shilingi bilioni 1.4 zilichangwa,Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.![]()
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PICHA BOMBA SANA MKUU, ASANTE SANA
MIE BINAFSI SASA NASUBIRIA KWA HAMU KUU, UNABII UTAKAORUSHWA ....JUU YA KINANA..........
SIJUI NABII ATAANZIA KUANIKA JUANI NA YALE MAKAMPUNI YA MELI YA JAMAA ...............AU ATAANZIA KUIANIKA ILE MIGOROFA YAKE PALE SAMORA............AU KWA YULE SANGOMA WAKE ANAERUSHWA NA NDEGE ZA SERIKALI KUJA BONGO ......NHIIIIIII !!!!...NGOJA NISUBIRI
Kama kuna mtu ana account ya Kinena ya FB au Twitter mtumpieni hii picha.
Kinena hajawahi kuongea pointi hata siku moja!
Kinena ni mtu aliyelewa na madaraka na Fedha za kifisadi zinazotokana na uuzaji wa Pembe za ndovu. Efatha wanatakiwa kumpuuza!
hao efatha ndio wanakata wananchi maskio?? Shamba lazima ligawe kwa wananchi, ardhi ikae bure kwa babu zip??
mwingira ni mjasiriamali wa kidini.
Huyu Mwingira anafahamika na serikali sijui kama Kinana ameona hii kitu
Mtume na Nabii Josephat Mwingira asaidia maendeleo mkoa wa Rukwa
30/05/2009 by Strictly Gospel
22
Rais Jakaya Kikwete akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa kiongozi wa kanisa la Efatha nchini,![]()
Mtume na Nabii, Josephat Mwingira katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Maendeleo wa Mkoa wa Rukwa iliyoongozwa na Rais kwenye hoteli ya Kilimanjaro- Kempinski jijini Dar May 27, 2009. Zaidi ya shilingi bilioni 1.4 zilichangwa,Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PICHA BOMBA SANA MKUU, ASANTE SANA
MIE BINAFSI SASA NASUBIRIA KWA HAMU KUU, UNABII UTAKAORUSHWA ....JUU YA KINANA..........
SIJUI NABII ATAANZIA KUANIKA JUANI NA YALE MAKAMPUNI YA MELI YA JAMAA ...............AU ATAANZIA KUIANIKA ILE MIGOROFA YAKE PALE SAMORA............AU KWA YULE SANGOMA WAKE ANAERUSHWA NA NDEGE ZA SERIKALI KUJA BONGO ......NHIIIIIII !!!!...NGOJA NISUBIRI
Huyu Kinena anaonekana kuanza uvuvuzela kama ule alioanza nao Nepi. Wewe umeshaambiwa shamba limeuzwa na serikali halijavamiwa unawezaje kunyang'anya? Kwanini serikali baada ya kushindwa kuliendesha isiligawe kwa wananchi na badala yake ikatangaza mnada? Huyu hajakoma bado na makelele yake ya mawaziri mizigo ambao mpaka leo amebaki na aibu