Eeeh! Hawa wana wadudu kichwani eeeh?

Dr. Chapa Kiuno

JF-Expert Member
Sep 11, 2009
443
18
Imagine accepting such terms n conditions................ How will tz future be guys?
 

Attachments

  • Gay Nation against Africa.jpg
    Gay Nation against Africa.jpg
    15.5 KB · Views: 379
Sikuelewa chochote hapa.
attachment.php


nilivyoelewa mimi hivi huyu Mtu wa U.K anamwambia M Tanzania ikiwa hutaki mambo ya Mashoga kwenu (Home Sexual) Hautopata Misaada ya Mapesa. Huyu Muingereza anamlazimisha Ofisa wa Tanzania aruhusu mambo ya Ushoga Tanzania ndio atampa misaada ya pesa Kwenda David Cameroon na misaada yako na huo Ushoga hatutaki misaada yenye Masharti Magumu.
 
attachment.php


nilivyoelewa mimi hivi huyu Mtu wa U.K anamwambia M Tanzania ikiwa hutaki mambo ya Mashoga kwenu (Home Sexual) Hautopata Misaada ya Mapesa. Huyu Muingereza anamlazimisha Ofisa wa Tanzania aruhusu mambo ya Ushoga Tanzania ndio atampa misaada ya pesa Kwenda David Cameroon na misaada yako na huo Ushoga hatutaki misaada yenye Masharti Magumu.

na mtanzania anaonekana anataka kua considerate anaonekana anawaza kua what if nikikubali mambo kwani yatakuaje...?
 
Back
Top Bottom