Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Sikuelewa chochote hapa.
nilivyoelewa mimi hivi huyu Mtu wa U.K anamwambia M Tanzania ikiwa hutaki mambo ya Mashoga kwenu (Home Sexual) Hautopata Misaada ya Mapesa. Huyu Muingereza anamlazimisha Ofisa wa Tanzania aruhusu mambo ya Ushoga Tanzania ndio atampa misaada ya pesa Kwenda David Cameroon na misaada yako na huo Ushoga hatutaki misaada yenye Masharti Magumu.