Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Edward Ngoyai Lowasa ,ni mwana siasa anaye fanya siasa kwa utulivu
1:hajui kutukana wala kumtukana mtu
2 Hajui kujibu matusi na mashambulizi kama kejeli na matusi
3 Hatukani viongozi waliopo madarakani
4 Hatoi lugha za uchochezi
5 Hajui kukejeli
6 Mvumilivu wa kisiasa
NB: Yupo smart haya ni maoni yangu
1:hajui kutukana wala kumtukana mtu
2 Hajui kujibu matusi na mashambulizi kama kejeli na matusi
3 Hatukani viongozi waliopo madarakani
4 Hatoi lugha za uchochezi
5 Hajui kukejeli
6 Mvumilivu wa kisiasa
NB: Yupo smart haya ni maoni yangu