figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Waziri Mkuu wa Zamani na aliyekuwa Mgombea Urais wa chama cha CHADEMA, Mh.Edward Lowassa akijadiliana jambo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, awamu ya tano, Dk John Pombe Magufuli, mapema leo walipokwenda kushiriki misa ya Jubilei ya Dhahabu ya ndoa ya Rais Mstaafu awamu ya tatu, Mh Benjamin William Mkapa na Mkewe Mama Anna Mkapa jijini Dar leo
Picha ya pamoja mara baada ya misa hiyo
Rais Mstaafu awamu ya tatu,Mh Benjamin William Mkapa na Mkewe Mama Anna Mkapa wakifurahia Jubilei ya Dhahabu ya ndoa jijini Dar leo
My Take:
Najitahidi kusoma Body Language ya hii Picha . Nimekazana kumuangalia Warioba na Edward Lowassa. Kwenye Siasa Hakuna adui wala rafiki wa Kudumu.