Lowassa anajivunia mtaji wa watanzania kwa maana asilimia kubwa wanaona huyu ndo suluhisho lao kwaiyo wala msione vibaya watanzania wanavyomuunga mkono,Hii ndo safari ya matumaini inabidi tuikubali na kuipokea kwa mikono miwili
Wenzake wameshaanza kurudisha fomu yeye bado anakazana kuongeza wadhamini wakati 450 wanatosha. Huyu mzee ana visa!
mmmmmmmmmhhhh Mamvi katisha!ila UKAWA ndo habari ya mujini
Usanii tupu. Ushirika wa mafisadi,ushirika wa waovu. Uraisi wa nchi hii hauwezi kununuliwa kama bidhaa! Shame. Shame. Shame!
Mtuachie nchi yetu.
Wenzake wameshaanza kurudisha fomu yeye bado anakazana kuongeza wadhamini wakati 450 wanatosha. Huyu mzee ana visa!
Sahivi anachokifanya yeye ni kuendelea na kampeni kwa kisingizio cha kusaka wadhamini na anafanya hivi ili kukitisha chama chake yeye ndo anapendwa ila mbinu yake ni ya kitoto sana.
Anafanya kampeni tu hamna kingine hapo
Namkubal e l , sana, kura yangu inamuhusu
Sisi tunahitaji 450 hao wengine atarudi nao.Huo ni uvunifu wa kanuni za chama chetu siku zote wavunjifu wa kanuni dawa yao ni moja tu.........Jina lake halifiki hata kamati kuu ya chama litakatwa kabla na kamati ya maadili chini ya Makamu wa mwenyekiti wa chama Bwana Mangula.
Mwambie na Makongoro naye afanye kama atapata hiyo idadi..... Lazima tukubali Lowassa anakubalika. Period
Sasa atapataje wadhamini? Tueleweshe ili isiwe kampeni atumie njia ipi? Eleza afanyeje kusaka wadhamini ili nasi tuone tofauti ya kampeni na kusaka wadhamini.Sahivi anachokifanya yeye ni kuendelea na kampeni kwa kisingizio cha kusaka wadhamini na anafanya hivi ili kukitisha chama chake yeye ndo anapendwa ila mbinu yake ni ya kitoto sana.
Anafanya kampeni tu hamna kingine hapo