Edward Lowassa special thread



Double standards na upendeleo kwa wa kwao.
Lowassa ni BOMU!

Mbeya na Lindi aliahidi na HAWAKULIPWA!!!!
Arusha aliahidi, WAKALIPWA!!!!
 

Wewe mchonganishi kinoma na nahisi unalipwa hela nzuri sana na hao wanaokutuma! ndugu unajisumbua watu milioni mbili tu ndio wanaotumia mitandao tanzania nzima na humu jamii forum bado kuna watu wachache, wanampenda lowassa wengi wapo mitaani wanatumia simu za tochi, sasa hivi vitu nakushauri kavisememe redioni kidogo watu watakusikia maana kwenye tv bado wenye ving'amuzi ni wachache!unatwanga maji kwenye kinu......
 
Ndugu yangu Viol unadhani hajui anajua sana sema anataka kutufanya wajinga wakati ukweli unajulikana.Safari kutoka Arusha hadi KIA ni kama kilometa 45 kuna dereva wa boda boda anaweza kufanya kazi hiyo bure.

Boda boda wao wanachoangalia kwa siku mahesabu yao yameenda,hawawezi kukataa
 
Last edited by a moderator:
Arusha imepata wadhamini zaidi ya laki moja wakati mkoa wa Arusha wanaCCM hawafikii hata elfu hamsini.

Jamani si inawezekana wamesajili wanachama wapya cha kushangaza ni nini.Goli la mkono ni goli endapo tu refa atakuwa ajaliona.
 
Mkuu Jidu La Mabambasi inategemea na umbali usitake kumsingizia Laigwanan dhambi ya upendeleo.Kutoka KIA hadi Arusha ni kama 45 km.

Double standards na upendeleo kwa wa kwao.
Lowassa ni BOMU!

Mbeya na Lindi aliahidi na HAWAKULIPWA!!!!
Arusha aliahidi, WAKALIPWA!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mwende nae Monduli si mnampenda. Mwenzenu Mzee sana keshaikimbia aibu inayowajia
 
Ndugu yangu Viol unadhani hajui anajua sana sema anataka kutufanya wajinga wakati ukweli unajulikana.Safari kutoka Arusha hadi KIA ni kama kilometa 45 kuna dereva wa boda boda anaweza kufanya kazi hiyo bure.

Tripu za bodaboda mjini ni 3000 au 2000,akipata 25,000 kwa siku anashukuru,wengine kwa mabosi wanarudisha 15,000 jioni.

Sasa kwanini wakatae kwenda arusha wao wanakaa tu barabarani halafu mafuta wamejaziwa
 
Last edited by a moderator:
mimi nilikuwa njiani nimetoka dar kurudi Arusha kuanzia KIA nimekutana na huo msafara wa mamvi mpaka kero huko barabarani wamekaa team ya mamvi wanamsubiri huu usanii angejua kitachomkuta asingehangaika kiasi hicho


Mtoto unauza sana kabaang, muongo, mmbea mkubwa kama Mpora wake za watu, bossi wako Slaa...!!

Unahangaika na wanaume wa CCM, sisi hatutakiz makombo, we never sleep with harlots..!!! ENDELEA KUUZA HUKO CDM, koma kushobokea wanaume wa CCM, nungayembe..!!!

Leo Lowassa kapata wadhamini 120,338 Arusha... mtakoma, ndio moto unazidi kuwaka...!!
 
Mkuu fidolas hivi unajua tofuti ya uchonganishi na kutoa habari ya ukweli ?.Mimi siwezi kutumiwa kwasababu nina kazi yangu,ninajiweza wanaotumiwa ni wale wanaotumia fedha zao kununua uongozi.Lowassa kupendwa au kutokupendwa hakuna uhusiano na matendo anayofanya.


 
Last edited by a moderator:

WEWE katika kambi za waliotia nia uko kambi ya nani mkuu? maana unavyokuza mambo unalenga kumchafua mzee wa watu kisiasa.
 
Mimi sina chama ila ningependa baadhi ya wagombea wapewe nafasi ya kutuongoza bila kujali wanatoka chama gani.

1. Dr W Slaa

2. Brigadier General Jaji Augustino Ramadhan

3. Dr Augustino Mahiga

4. Makongoro Nyerere "Mako"

5. T Lissu.

6. Prof Mwandosya

Mimi napenda uadilifu na si mbwembwe za mafisadi.

WEWE katika kambi za waliotia nia uko kambi ya nani mkuu? maana unavyokuza mambo unalenga kumchafua mzee wa watu kisiasa.
 
Mmmmhhh...Ama kweli...!!!

Sina la kusema, mafuriko kweli kweli...!!!

Arusha leo, Lowassa apata wadhamini 120,338 ikiwa ni record mpya kabisa, ya wadhamini wengi sana, ama kweli, NYUMBANI NI NYUMBANI...!!!

Naona Arusha mjini hiyooooo CCM, taratibuu... ama kweli leo ARUSHA mjini wamekinukishaaaa na kimenukiaaaaaa

CCM..🔊🔊🎉🎉🎇🎇🎆🎆🎄🎄 CCM...🔔🔊📻📺📡📀💿💻📀📱☎📠📼📣📣
eeeeehh..Chama cha mapinduziii ccm number oneeeeeee.....🔊🔊🔊🔊📻📻📺📡🎉🎁🎇🎄🎅👻👻👻🔨💉✂🎺🎷🎸👍👍👏👏👏🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙆🙆🙆🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

Bravo Wana CCM, bravo Watanzania...
 
hivi huyu mzee bado anatafuta wadhamini tu , au ana kingine anatafuta ?
 

msumari ulipo ingilia ndipo utapotokea acha kuweweseka ccm wanataka wadhamini 30 kila mkoa hao wadhamini 120,338 ndo watampitisha Lowasa kugombea uraisi kupitia ccm.mamvi atakufa kwa presha bado siku chache sana
 
Kama ni hivyo, woote hao wataipigia kura UKAWA. Poleni maccm, HAKIKA msipomchagua LOWASA mmeula wa chuya. Ndo maana anasema, hakatwi mtu hapooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…