Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu
ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na
mzalendo CCM tumeichoka ,Lowassa bado ana
heshima. Naamini tukimchagua Lowassa ataivusha Tanzania yetu salama kwenye
mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.
Ungana na Team Lowassa kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu Edward Ngoyai Lowassa na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...
Wasalaaam