Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu...kuna mfata mkumbo mmoja huku yupo taabani presha kama sio kisukari...hii yote kutokana na walio mtegemea kufeli kwa kishindo amekuwa na msongo wa mawazo toka juzi ...leo jion hali imekuwa mbaya
ANAOMBA USHAURI ATUMIE DAwa Gani ya kuondoa .msongo wa mawazo
Nawasilisha
#MstahikiMeya