Mimi naamini sote tunajenga nyumba moja, tulikuwa tumeshazoeana kwenye magroup yetu kule Facebook na WhatsApp, naamini mijadala bado tunayo mingi, kinachonisikitisha ni spidi ya hatari ya kujitoa kwa wapambe wenzangu kwenye magroup, au ni hilo moja tu ndo lilikuwa limewapeleka huko?
Poleni, ila hiyo ndo inaitwa Siasa, tujadili na mengine tafadhali, msikimbie, kujeruhiwa huwa inatokea