mmbangaya
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 997
- 1,763
Habari Jf,
Naomba kabla ya kutoa hoja yangu nideclare interest kwamba mimi ni mwana Ukawa damu.
Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika viongozi wa ukawa wakiongozwa na Lowassa na Mbowe walituambia kwamba CCM wameiba kura na hawajashinda kihalali.
Wakatuambia kwamba haki yao haiwezi kupotea wanaenda kuishtaki serikali ya CCM kwenye mahakama za kimataifa ikiwepo ICC na CCJ.
Cha kushangaza baada ya hapo hawajarudi kwa watanzania tuliokuwa tunaunga mkono sera zao kutupa feedback.
Instead wamekaa kimya kama hawapo.
Hii inapelekea watanzania kuamini yale maneno ya wapinzani wenu kwamba baadhi ya viongozi wa UKAWA ni wachumia tumbo. Inamaana nyie siyo aina ya viongozi mnaowajibika kwa waliowatuma.
Je, kura zetu zingetosha mngerudi hata kutushukuru? Au mnadhani 2020 ni mbali sana?
Imani yetu kwenu inaenda kuyeyuka kabisa sasa.
Naomba kabla ya kutoa hoja yangu nideclare interest kwamba mimi ni mwana Ukawa damu.
Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika viongozi wa ukawa wakiongozwa na Lowassa na Mbowe walituambia kwamba CCM wameiba kura na hawajashinda kihalali.
Wakatuambia kwamba haki yao haiwezi kupotea wanaenda kuishtaki serikali ya CCM kwenye mahakama za kimataifa ikiwepo ICC na CCJ.
Cha kushangaza baada ya hapo hawajarudi kwa watanzania tuliokuwa tunaunga mkono sera zao kutupa feedback.
Instead wamekaa kimya kama hawapo.
Hii inapelekea watanzania kuamini yale maneno ya wapinzani wenu kwamba baadhi ya viongozi wa UKAWA ni wachumia tumbo. Inamaana nyie siyo aina ya viongozi mnaowajibika kwa waliowatuma.
Je, kura zetu zingetosha mngerudi hata kutushukuru? Au mnadhani 2020 ni mbali sana?
Imani yetu kwenu inaenda kuyeyuka kabisa sasa.