"wanachama, mashabiki, wapenzi, na wafuasi".
wakuu naomba ufafanuzi hapa kidogo
Usikubali kumbiwa kila jambo, ni kundekeza uvivu na unoko. Subiri ujionee mwenyewe.
"wanachama, mashabiki, wapenzi, na wafuasi".
wakuu naomba ufafanuzi hapa kidogo
mgombea B wa ccm= edo...
ukifika muda mwafaka atajitoa na bao la mkono kutimia!
Rubish...... Mtahaha sana. Ila kuanzia kesho Magufuli kupata coverage ndio asahau kabisa mpaka Oktoba hiyo.....