Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,172
- 54,671
Ningeshtuka sana kama usingemtaja Mbowe.Hivi alishawahi kukutegua kiuno?
Ningeshtuka sana kama usingemtaja Mbowe.Hivi alishawahi kukutegua kiuno?
Eti mihemko yenu! Akina nani hao! Hebu tuachane na huu usutanaji! Good dayUnahemka aliyekwambia wewe Chadema nani? Hiyo ndiyo mihemko nayosemea sasa.
Usijifanye wewe ndiye unapata uchungu wa kuachwa hata Ccm nao waliachwa na Lowasa na wakaumia.Eti mihemko yenu! Akina nani hao! Hebu tuachane na huu usutanaji! Good day
Aiseee! Nadhani nimemaliza! Kila la kheri! Nilidhani tunajafili sorry wrong bus! Siendi huko unakoelekeaUsijifanye wewe ndiye unapata uchungu wa kuachwa hata Ccm nao waliachwa na Lowasa na wakaumia.
Mmeruhusu siasa ziwe sehemu ya maisha yenu acha ziwaendeshe.
Ninyi mnamkuza sana huyo Ng'ombeUn
Unazungumzia umati??? Hatuzungumzii huo tunazungumzia madhara yatakayotokea kwa watu wanaomwona role model
OkNinyi mnamkuza sana huyo Ng'ombe
Ningeweza kuwazuwia jf yote wasingemjadiri kwa lolote,hata maccm yangeleta mjadala mngewachia wajadiri wao. TOKA LINI LOWASA KAWA ROLE MODAL WA WATU? HUYO KISHAJIDHARAULISHA MILELE
Sent using Jamii Forums mobile app
Kurudi kwa Lowassa CCM: Jibu - Chadema hawalii, CCM wanashangiliaKurudi kwa Lowassa CCM: Maswali na Majibu - CHADEMA Wasilie, CCM wasishangalie!