Kwani ulokole ni dini?
Kwani kuna ubaya mkuu?
ili aukwae urais 2015? Kweli uroho wa madaraka ni utumwa.Mhe edward lowasa ameokoka na sasa amekuwa mlokole anasubili kubatizwa maji tele.Hatua hiyo imefikia baada ya kushauliwa na tb joshua wa nigeria
Shalom,Kwani ulokole ni dini?
uzuri kwenye urais kigezo cha ulokole au dini hakipo, kwa hiyo sidhani kama itakuwa na uhusiano na hili au kumwongezea point.
Well said ndugu; true repentance is both word and deed...kwa kuwa aliwakosea Watanzania, he must make a public apology and then return our money, and then he can deal with God and his soul....otherwise aache kutudanganya maana hatudanganyiki tenaSidhani kama kuna nabii yeyote, awe Joshua au mwingine yeyote anaweza 'kuokoa' bila ya huyo mhusika kuomba radhi kwa aliowakosea. Hivyo nategemea Lowassa kuungama mbele ya watanzania kwa yale yote aliyotenda hasa Richmond maana kuna watanzania wameachishwa kazi kwa sababu ya mgao wa umeme. viwanda vinapunguza wafanyakazi kwa sababu ya kukosa umeme.
Ukihukumu utahukumiwa vivyo hivyo!!!!Eh mungu saidia akizama asiibuke tena na apotelee huko huko majini.
Wee bwana, are you serious? are among the so called great thinkers? I doubt ...kwa hiyo unamaanisha kuwa shetani pia ni mwislam? Je kuna uislam unaotoka Saudia? Kama huna hoja unanyamaza tu.Huenda na shetani ni mlokole kama spidi ni hii! Hivi kuna uokovu uwezao kutoka Nigeria jamani? Haya wee!
Jlna lake linafutwa kkkt. linaandikwa mbiguni.Mgogoro utakuja kati ya lowasa na maaskofu kkkt, kwani ndani ya kkkt hurusiwi kubatizwa maji tele, ukifanya hivyo ni sawa na uasi mkubwa na unatengwa na kkkt.Hivyo lowasa yupo mbioni kutengwa na kkkt