Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,757
Hata apewe miaka elfu hawezi....Nami huwa nashangaa waafrika wanao sema eti kwamba ni ya wazungu nikutaka kutua,hivi huyu mzungu ambaye kila kitu tunamtegemea yeye akihitaji kufanya hivyo so ni swala la dakika tu.
Hitler na Himmler waliwachoma na kuwachinja ndugu zetu Wayahudi wasio na hatia milioni 8 kule Auswitchz na Sobibor.....je aliwamamaliza?!!
Wayahudi wamekwisha?