Nani zaidi kati ya Edo Kumwembe vs Shaffi Dauda

wote sanaa tu

mkuu umelonga...

kwa wale wamezoea kuangalia soka la majuu wangependa kuona wachambuzi wenye first hand experience ya kile wanachambua yaani watu waliocheza soka....akiongea Ally Mayai namsikiliza kwa makini sana lakini hao kina Shafii/kumwembe ni sanaa na uhodari wa kuangalia DSTV na kusoma soccer news kwenye Internet tu....hawana ujuzi wowote wa soka....kiasi cha kuitwa wachambuzi wa soka.

No wonder nchi hii haiendelei maana kila sehemu ni sanaa na ujanja ujanja tu.

By the way...Namkubali zaidi Edo kuliko Shafii, naona Edo husoma hizo habari kwenye mitandao na kisha akaongeza na ufundi wake na kukufanya upate kitu tofauti wakati Shafii ni Copy and Paste only.

Edo is more inteligent kuliko Shafii na hata kwenye analysis zao, Edo huegemea zaidi kwenye issues mf. technical aspect of the game wakati Shafii ataongelea non-issues kama mchezaji analipwa kiasi gani etc.
 
mkuu umelonga...

kwa wale wamezoea kuangalia soka la majuu wangependa kuona wachambuzi wenye first hand experience ya kile wanachambua yaani watu waliocheza soka....akiongea Ally Mayai namsikiliza kwa makini sana lakini hao kina Shafii/kumwembe ni sanaa na uhodari wa kuangalia DSTV na kusoma soccer news kwenye Internet tu....hawana ujuzi wowote wa soka....kiasi cha kuitwa wachambuzi wa soka.

No wonder nchi hii haiendelei maana kila sehemu ni sanaa na ujanja ujanja tu.

By the way...Namkubali zaidi Edo kuliko Shafii, naona Edo husoma hizo habari kwenye mitandao na kisha akaongeza na ufundi wake na kukufanya upate kitu tofauti wakati Shafii ni Copy and Paste only.

Edo is more inteligent kuliko Shafii na hata kwenye analysis zao, Edo huegemea zaidi kwenye issues mf. technical aspect of the game wakati Shafii ataongelea non-issues kama mchezaji analipwa kiasi gani etc.

Mkuu umeongea point sana,Ally mayai kacheza mpira na anaujua mpira sio kidogo,yaani sana tu hawa wengine wanacheza sana na internet na kuangalia DSTV,ambako kuna magwiji wazito wanafanya kazi ya uchambuzi usiku kucha,na sehemu kubwa ya wachambuzi ambao wapo DSTV wanaujua mpira,na wamecheza kwa muda mrefu.Namkubali Edo,ingawa sijajua kama ameshawahi kucheza mpira ua lahaaaa!!!lakini yupo vizuri sana.
 
mbna ya mwaka huu tiketi zimeshaisha.cjui kama kanunua na swala la kwenda nje ya nchi kufata wachezaj na kuwahoji mwananchi wanafanya hyo kazi.,nadhan kampuni anayofanyia kazi wamejipanga sana,ila ukiachia hapo Edo anajituma sana.

Clouds hawana ubavu wa kumsafirisha hata kwenye gemu moja ya Stars au kumhoji Henry Joseph Sindika?
 
Wote ni wapenzi wa Simba SC, so wote wako fit (sio kama Maulid Kikanga) :becky:
 
Mkuu umeongea point sana,Ally mayai kacheza mpira na anaujua mpira sio kidogo,yaani sana tu hawa wengine wanacheza sana na internet na kuangalia DSTV,ambako kuna magwiji wazito wanafanya kazi ya uchambuzi usiku kucha,na sehemu kubwa ya wachambuzi ambao wapo DSTV wanaujua mpira,na wamecheza kwa muda mrefu.Namkubali Edo,ingawa sijajua kama ameshawahi kucheza mpira ua lahaaaa!!!lakini yupo vizuri sana.

hapo hatamimi nakuunga mkono,Ally mayai kwenye uchambuz anaonyesha dhairi kuwa anafahamu anachokifanya,but cdhan kama uchambuz unahaja yakuwa umecheza ndo uwe na uwezo mkubwa wakuchambua,mbna morinho hajacheza soka ni moja ya macoach bora duniani?pia muangalie AVB nae.
 
Ndio maana yake mkuu, watu bado tupo kwenye system ya habari kupokelewa through word of mouth kwa uvivu wa kusoma paragraph mbili, ukitaka kumjua mchambuzi mzuri ni yule anaechambua soka kwa nyanja zote za nje na soka la ndani (alishawahi kuwepo Dr. Liki siku za nyuma alikuwa mkali huyo kwa soka la ulaya ila aliniboa siku alipoulizwa soka la Tz akabaki anambwelambwela tu kwa kusema huwa haangalii, heri yake yeye access ya internet wengi tulikuwa hatuna kutokana na technolojia enzi zile moderm peke yake ilikuwa inauzwa 250,000)

Mkuu, Dr. Liki(Abdulmalik Abdallah) anajua sana mambo ya soka nadhani kuliko wachambuzi wote sio tu wa Tz mpaka wale waliopo katika mashirika makubwa ya habari ya nje kama supersport, skysport, bbc, espn n.k.
Nakumbuka miaka ya 1990's mwishoni kuelekea 2000 dtv/itv walikuwa wanaonesha mipira ya nje kama epl, euro, world cup na afcon(kabla ya zuio la supersports), Dr. Liki alikuwa na Michuzi pamoja na Poki Fereji, alikuwa anaelezea vitu vingi sana vya mpira kama vile; historia ya mpira, kwanini england hawapendi penalty shootout, panenka chip, eusebio, historia ya santiago bernabeu (inaonekana alifika kwenye huo uwanja pia), kwanini Afrika ilipewa nafasi tano World cup, kwanini roger milla alirudi uwanjani. Mpaka sasa bado anaelezea vitu kuhusiana na mpira wa nje ambavyo si rahisi kuvipata kwenye mtandao. Vile vile sio rahisi kujua anashabikia timu gani tofauti na kina dauda na kumwembe. Mara nyingi haoneshi ushabiki kabisa, wale mabwege wa supersport wengi wao wanashindwa kuficha ushabiki wao kwa timu wazipendazo. Kama yule black mdogomdogo(nadhani anaitwa Thomas Mlambo) muda wa 2010 wc alikuwa anaonesha ushabiki usio wa lazima kwa timu ya SA ambayo ilikuwa mbovu kabisa, kama mtakumbuka akiizungumzia mechi ya pili ya group stage kati ya SA na Uruguay(gk ya SA Khune alipewa red card na uruguay walipata penalty SA walifungwa 3-0). Vilevile watangazaji wao kwenye UCL wanaonesha ushabiki mkubwa kwa sevenlona.
 
Mkuu, Dr. Liki(Abdulmalik Abdallah) anajua sana mambo ya soka nadhani kuliko wachambuzi wote sio tu wa Tz mpaka wale waliopo katika mashirika makubwa ya habari ya nje kama supersport, skysport, bbc, espn n.k.
Nakumbuka miaka ya 1990's mwishoni kuelekea 2000 dtv/itv walikuwa wanaonesha mipira ya nje kama epl, euro, world cup na afcon(kabla ya zuio la supersports), Dr. Liki alikuwa na Michuzi pamoja na Poki Fereji, alikuwa anaelezea vitu vingi sana vya mpira kama vile; historia ya mpira, kwanini england hawapendi penalty shootout, panenka chip, eusebio, historia ya santiago bernabeu (inaonekana alifika kwenye huo uwanja pia), kwanini Afrika ilipewa nafasi tano World cup, kwanini roger milla alirudi uwanjani. Mpaka sasa bado anaelezea vitu kuhusiana na mpira wa nje ambavyo si rahisi kuvipata kwenye mtandao. Vile vile sio rahisi kujua anashabikia timu gani tofauti na kina dauda na kumwembe. Mara nyingi haoneshi ushabiki kabisa, wale mabwege wa supersport wengi wao wanashindwa kuficha ushabiki wao kwa timu wazipendazo. Kama yule black mdogomdogo(nadhani anaitwa Thomas Mlambo) muda wa 2010 wc alikuwa anaonesha ushabiki usio wa lazima kwa timu ya SA ambayo ilikuwa mbovu kabisa, kama mtakumbuka akiizungumzia mechi ya pili ya group stage kati ya SA na Uruguay(gk ya SA Khune alipewa red card na uruguay walipata penalty SA walifungwa 3-0). Vilevile watangazaji wao kwenye UCL wanaonesha ushabiki mkubwa kwa sevenlona.

Kwenye soka la nje hana mpinzani pia nadhani ndio chachu ya hawa tunaowaona leo kiufupi hata soka letu lingekuwa lina takwimu za kutosha jamaa angeweza kuwa msimulizi mzuri wa soka la nyumbani kwani yule jamaa ana kipaji cha kuweza kuwasilisha maana kusoma mtandaoni ni issue nyingine na kusimulia ni issue nyingine, nilichochangia hapo juu ni kwa issue ndogo ndogo za ferguson sijui amejiuzuru, sijui Rooney anataka ahamie Arsenal au profile za mchezaji zingine hata mkereketwa wa soka anaweza kuangalia
 
Mkuu, Dr. Liki(Abdulmalik Abdallah) anajua sana mambo ya soka nadhani kuliko wachambuzi wote sio tu wa Tz mpaka wale waliopo katika mashirika makubwa ya habari ya nje kama supersport, skysport, bbc, espn n.k.
Nakumbuka miaka ya 1990's mwishoni kuelekea 2000 dtv/itv walikuwa wanaonesha mipira ya nje kama epl, euro, world cup na afcon(kabla ya zuio la supersports), Dr. Liki alikuwa na Michuzi pamoja na Poki Fereji, alikuwa anaelezea vitu vingi sana vya mpira kama vile; historia ya mpira, kwanini england hawapendi penalty shootout, panenka chip, eusebio, historia ya santiago bernabeu (inaonekana alifika kwenye huo uwanja pia), kwanini Afrika ilipewa nafasi tano World cup, kwanini roger milla alirudi uwanjani. Mpaka sasa bado anaelezea vitu kuhusiana na mpira wa nje ambavyo si rahisi kuvipata kwenye mtandao. Vile vile sio rahisi kujua anashabikia timu gani tofauti na kina dauda na kumwembe. Mara nyingi haoneshi ushabiki kabisa, wale mabwege wa supersport wengi wao wanashindwa kuficha ushabiki wao kwa timu wazipendazo. Kama yule black mdogomdogo(nadhani anaitwa Thomas Mlambo) muda wa 2010 wc alikuwa anaonesha ushabiki usio wa lazima kwa timu ya SA ambayo ilikuwa mbovu kabisa, kama mtakumbuka akiizungumzia mechi ya pili ya group stage kati ya SA na Uruguay(gk ya SA Khune alipewa red card na uruguay walipata penalty SA walifungwa 3-0). Vilevile watangazaji wao kwenye UCL wanaonesha ushabiki mkubwa kwa sevenlona.

we jamaa unaonekana ni shabiki wa man u,any way licky Abdalah,aka dk licky ni mnazi wa real madrid na huwa anahudhuria baadh ya gamdm za madrid.
 
wakuu nimeamua kuleta uzi huu kwenu ili kutaka kupima kati ya wachambuzi hawa mairi wa Soka nchini ni yupi mwenye uwezo mkubwa wa kuchambua soka la Nchini na nje ya nchi.

ni hayo 2,karibuni kwa kuchangia.

Wanachambua nini hasa kipya? Binafsi sijaona kipya wanachochangia wao wanacopy na kupest mambo kutoka kwenye mtandao.. vitu ambavo hata wewe ukiamua kuvifuatilia kwenye mitandao unavipata.. wao wanachokifanya ni kuganga njaa ili mradi mkono uende kinywani

 
Wanachambua nini hasa kipya? Binafsi sijaona kipya wanachochangia wao wanacopy na kupest mambo kutoka kwenye mtandao.. vitu ambavo hata wewe ukiamua kuvifuatilia kwenye mitandao unavipata.. wao wanachokifanya ni kuganga sijaona ili mradi mkono uende kinywani

Duh.!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom