Nani zaidi kati ya Edo Kumwembe vs Shaffi Dauda

Ukiwa unafuatilia mitandao ya nje ya habari za soka kama ya sunsport, daily mail, espnsoccernet, goal.com, bbc, zonalmarking hutakuja usikie kipya kutoka kwa Dauda na wanahabari wengine wengi wa kibongo, lakini kwa Kumwembe kuna kitu kipya utakipata


Mkuu umemaliza kila kitu.
 
Ila ansaidia kwa wale wasiojishughulisha ku-search kwenye internet, hata humu wamo wengi unakuta mtu anatoa uzi alafu mtu anaomba kitu ambacho anaweza kwenda google

Na hilo ndio tatizo la wabongo wengi sana,wavivu wa kusoma nakutafuta data au habari mpya maana mtu anaweza kuja anakuuliza 'hivi Ricardo kaka anatokea nchi gani?? mtu wa namna hii anakuuliza hili swali akiwa na access ya internet kabisa then anakuuliza,sasa huu si uzembe,alafu anajiita mtu wa soka.Kama kitu kidogo kama kujua mchezaji anatokea nchi gani,ata weza jua kweli 'the best goal in the history of football ' kweli???'
 
du,kwa hyo shafih ni mtu wa kucopy na kupaste

Hilo lipo wazi mkuu,

quote_icon.png
By Pianist
Ukiwa unafuatilia mitandao ya nje ya habari za soka kama ya sunsport, daily mail, espnsoccernet, goal.com, bbc, zonalmarking hutakuja usikie kipya kutoka kwa Dauda na wanahabari wengine wengi wa kibongo, lakini kwa Kumwembe kuna kitu kipya utakipa
 
Na hilo ndio tatizo la wabongo wengi sana,wavivu wa kusoma nakutafuta data au habari mpya maana mtu anaweza kuja anakuuliza 'hivi Ricardo kaka anatokea nchi gani?? mtu wa namna hii yupo ana access ya internet kabisa then anakuuliza,sasa huu si uzembe kabisa.

Ndio maana yake mkuu, watu bado tupo kwenye system ya habari kupokelewa through word of mouth kwa uvivu wa kusoma paragraph mbili, ukitaka kumjua mchambuzi mzuri ni yule anaechambua soka kwa nyanja zote za nje na soka la ndani (alishawahi kuwepo Dr. Liki siku za nyuma alikuwa mkali huyo kwa soka la ulaya ila aliniboa siku alipoulizwa soka la Tz akabaki anambwelambwela tu kwa kusema huwa haangalii, heri yake yeye access ya internet wengi tulikuwa hatuna kutokana na technolojia enzi zile moderm peke yake ilikuwa inauzwa 250,000)
 
Ndio maana yake mkuu, watu bado tupo kwenye system ya habari kupokelewa through word of mouth kwa uvivu wa kusoma paragraph mbili, ukitaka kumjua mchambuzi mzuri ni yule anaechambua soka kwa nyanja zote za nje na soka la ndani (alishawahi kuwepo Dr. Liki siku za nyuma alikuwa mkali huyo kwa soka la ulaya ila aliniboa siku alipoulizwa soka la Tz akabaki anambwelambwela tu kwa kusema huwa haangalii, heri yake yeye access ya internet wengi tulikuwa hatuna kutokana na technolojia enzi zile moderm peke yake ilikuwa inauzwa 250,000)


Dr liki Abdallah yaa ni kweli huyu jamaa naye ninamkubali sana anajua soka la ulaya,in and out lafu kuna jamaa mwingine anaitwa salehe ally anaandikia gazeti la champion naye ni mzuri mara nyingi namsoma kwenye makala zake mbali mbali,ila kikubwa kama mtu wa soka ni kuingia kwenye mitandao mbali mbali na kupata habari espn,goal.com,sky sports news,bbc na kwingineko,ambako eddo na shafii wanashinda huko.
 
Du watoa maoni wana hasira sana na hawa watu!mimi naona kila mmoja ni mzuri kwa sehemu yake na tukio husika!Shaffii anapenda sana kuingia TFF ajue nini kinaendelea ndani na kupata kaulaji kidogo!ndio maana kuna wakati anakosa weledi na kushindwa kukemea hasa likiwa jambo zito la TFF anawafunikia!

hahaha,hapana hisia 2 wala c ukali,huyo shafii mbna tff kila siku wanagombna nae
 
Eddo ni mkali....
Shafii Ana copy na ku past..
Kinachonifanya ninunue gazeti la mwanaspoti kila weekend mojawapo ni ukurasa wa Eddo..

Jamaa namkubali nabali sana.!!

bila shaka unaongelea makala yake ya NYUMA YA PAZIA
pia na makala nyngne inaitwa HISIA ZANGU?DAAH,jamaa kanifanya nimekuwa mtumwa kwa makala zake
 
hivi ile kesi ya sihofii ushuhuda aka shafih dauda na tff ishaisha au bado hajapeleka vielelezo..

Back to topic edo ni mzuri tu.. shafi ni mkalimani wa goal.com

kapewa siku 7 nadhan bdo hazijatmia,duh ila jamaa kazid kihelehele
 
Hilo lipo wazi mkuu,

quote_icon.png
By Pianist
Ukiwa unafuatilia mitandao ya nje ya habari za soka kama ya sunsport, daily mail, espnsoccernet, goal.com, bbc, zonalmarking hutakuja usikie kipya kutoka kwa Dauda na wanahabari wengine wengi wa kibongo, lakini kwa Kumwembe kuna kitu kipya utakipa

shafii anakopy sana kuliko kuchambua.
 
babumapunda ni vigumu kupambanisha mtu wa print media (Edo) na mtu wa electronic media (Shafii),kitaaluma wote ni waandishi wa habari lakini kiutendaji Wako tofauti sana.

cjakupata saana,ila nataka fahamu why nisiwapambanishe wakati wote ni wachambuzi wa soka,cdhan kuwa kwao watendaji katika media tofauti ikawa 7bu yakutowajadili kwa pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa unafuatilia mitandao ya nje ya habari za soka kama ya sunsport, daily mail, espnsoccernet, goal.com, bbc, zonalmarking hutakuja usikie kipya kutoka kwa Dauda na wanahabari wengine wengi wa kibongo, lakini kwa Kumwembe kuna kitu kipya utakipata

hapo nakubaliana nawewe mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom