Edo kumwembe unakera!!!

Edo kumwembe unakera!!!

SYMBOLOGIST

Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
72
Reaction score
32
Namuheshimu kama moja ya wachambuzi mahiri wa soka kibongobongo na mwandishi mahiri wa makala lakini hii tabia yake aya kusifia kila kitu cha uzunguni inakera sana..yaan kwa huyu jamaa kila kitu anataka watanzania tukopi toka nje...mfano had jinsi ya kudiscuss soka et tuige wabrazil huwa hawakosoi makocha km wabongo..mm naona sio kila kitu tuige!! we have our own identity..sisi ni watanzania na tutabaki kuwa hivyo..ninajivunia utanzania wangu,!!! siku nyingine Edo fikiri vizuri...
 
Personal confilicts zinakusumbua.
Kuchambua ni pamoja na kutolea mifano kwa waliofanikiwa zaidi
sasa unataka awe anawatolea mifano kina nani??
Hawa kina manji na rage? Ambao wameshindwa kujenga hata viwanja kwa zaid ya miaka 50???
 
Namuheshimu kama moja ya wachambuzi mahiri wa soka kibongobongo na mwandishi mahiri wa makala lakini hii tabia yake aya kusifia kila kitu cha uzunguni inakera sana..yaan kwa huyu jamaa kila kitu anataka watanzania tukopi toka nje...mfano had jinsi ya kudiscuss soka et tuige wabrazil huwa hawakosoi makocha km wabongo..mm naona sio kila kitu tuige!! we have our own identity..sisi ni watanzania na tutabaki kuwa hivyo..ninajivunia utanzania wangu,!!! siku nyingine Edo fikiri vizuri...

hivi mfano unawakanya wanao au kuwapa maono mema utaweza kuwambia kweli wafate mifano ya watu wasio na jipya?
 
Namuheshimu kama moja ya wachambuzi mahiri wa soka kibongobongo na mwandishi mahiri wa makala lakini hii tabia yake aya kusifia kila kitu cha uzunguni inakera sana..yaan kwa huyu jamaa kila kitu anataka watanzania tukopi toka nje...mfano had jinsi ya kudiscuss soka et tuige wabrazil huwa hawakosoi makocha km wabongo..mm naona sio kila kitu tuige!! we have our own identity..sisi ni watanzania na tutabaki kuwa hivyo..ninajivunia utanzania wangu,!!! siku nyingine Edo fikiri vizuri...

Kuna waziri mmoja hivi majuzi alizua sokomoko kwa kuwaambia wazungu wasituzingue na hapa namnukuu, "We have our own ways of doing things, so no one should intervene our programs"
 
Afadhali Edo kaamua kwenda Brazil kufanya kazi inayomhusu
kuna waandishi wa michezo hata Brazil hawakujui...wao kazi kuripoti fitna za uchaguzi wa Simba tu.....
yaani mwandishi wa michezo hajawahi kusafiri hata sikumoja kufuata michezo...yeye nikufuatlia fitna za soka za TZ tu so local...no exposure....full ukanjanja...
 
Sijaona tatizo kuna ubaya gan kuwaiga wabrazil kwa jambo jema?
Ni kwel hapa bongo tumezidi kila mtu kocha kila mtu mchezaj kila mtu dk nk
 
Kwangu mimi Edo nizaidi ya wachambuzi wote wa soccer hapa nchini na Africa mashariki kiujumla. Labda mkuu kama una majungu yako binafsi.
 
Mkuu labda una personal conflict ila sidhani kama bongo kuna mwandishi wa habari za michezo aliye level moja na Edo
 
Wivu wa kike huo,ndo maana hapa bongo hata mzee Akilimali anaweza kupanga first 11.

mkiambiwa ukweli mnalalamika.
 
sina personal conflict,ila sidhani kama kufanikiwa kisoka ni lazma pia muwe na tabia kama za wabrazil..nigeria wana mafanikio ktk soka pamoja na mataifa mengine ya africa magharibi ila hawako kama wabrazil..yaan had kueleza hisia zetu et tueleze kama wabrazil..too much aisee
 
Sijaona tatizo kuna ubaya gan kuwaiga wabrazil kwa jambo jema?
Ni kwel hapa bongo tumezidi kila mtu kocha kila mtu mchezaj kila mtu dk nk
hapo kwenye bold ..sio kweli mbna huwa wanawakosoa na kuwapinga makocha wao?mfano,wamewahi kupinga sana kitrendo cha scolari kumteua ronaldinho na kumtosa romario kias cha kumtishia kifo kocha wao...
 
Wivu wa kike huo,ndo maana hapa bongo hata mzee Akilimali anaweza kupanga first 11.

mkiambiwa ukweli mnalalamika.
kwenye bold:hata brazil kuna mambo ya kupanga timu..Edo kumwembe huwa anaangalia mapungufu tu na hasemi ukweli...mbona hasemi kuwa wabrazil huwapangia kikos makocha wao..mfano scolari mwaka 2002 alilazimishwa amchukue romario badala ya ronaldinho..haya mambo yapo!!!
 
Afadhali Edo kaamua kwenda Brazil kufanya kazi inayomhusu
kuna waandishi wa michezo hata Brazil hawakujui...wao kazi kuripoti fitna za uchaguzi wa Simba tu.....
yaani mwandishi wa michezo hajawahi kusafiri hata sikumoja kufuata michezo...yeye nikufuatlia fitna za soka za TZ tu so local...no exposure....full ukanjanja...

aione bin zubeiry!
 
Namuheshimu kama moja ya wachambuzi mahiri wa soka kibongobongo na mwandishi mahiri wa makala lakini hii tabia yake aya kusifia kila kitu cha uzunguni inakera sana..yaan kwa huyu jamaa kila kitu anataka watanzania tukopi toka nje...mfano had jinsi ya kudiscuss soka et tuige wabrazil huwa hawakosoi makocha km wabongo..mm naona sio kila kitu tuige!! we have our own identity..sisi ni watanzania na tutabaki kuwa hivyo..ninajivunia utanzania wangu,!!! siku nyingine Edo fikiri vizuri...
wewe kichwa yako inafikiri vizuri kweli?
 
hapo kwenye bold ..sio kweli mbna huwa wanawakosoa na kuwapinga makocha wao?mfano,wamewahi kupinga sana kitrendo cha scolari kumteua ronaldinho na kumtosa romario kias cha kumtishia kifo kocha wao...

acha longolongo! Ukitaka kufanikiwa unajifunza kwa waliofanikiwa! Full stop! Sa unataka soka tujifunzie kwa watu gani kama sio wabrazil? Chuki binafsi tu,huna jipya!
 
kwenye bold:hata brazil kuna mambo ya kupanga timu..Edo kumwembe huwa anaangalia mapungufu tu na hasemi ukweli...mbona hasemi kuwa wabrazil huwapangia kikos makocha wao..mfano scolari mwaka 2002 alilazimishwa amchukue romario badala ya ronaldinho..haya mambo yapo!!!
je alikubali au alikataa!? na alichukua kombe! wewe kama si mfuasi wa simba basi ni yanga! mbabaishaji!!!!!!!!
 
Kuna waziri mmoja hivi majuzi alizua sokomoko kwa kuwaambia wazungu wasituzingue na hapa namnukuu, "We have our own ways of doing things, so no one should intervene our programs"

ha ha ha ha! lakini akina kikwete kila siku kiguu na njia kuombeleza kwa wazungu!!! AIBUUUUUUUUUUUUUUU!! why the kikwetes handle their programs and problems in their ways!? the tanzanian ways?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom