We hujui sisi tutajuaje?Miaka ya karibuni nimesikia hii kitu inaitwa eco school naomba kufahamishwa kwa undani juu ya hiki kitu. @ walimu wote mliomo humu.
Eco-Schools ni programu kubwa ya kimataifa ya shule endelevu, huanzia darasani na kupanuka hadi kwa jamii kwa kushirikisha kizazi kijacho katika kujifunza hasa kwa vitendo.Miaka ya karibuni nimesikia hii kitu inaitwa eco school naomba kufahamishwa kwa undani juu ya hiki kitu. @ walimu wote mliomo humu.
Du!Bwana juma hebu tulia juma na elimu wapi na wapi?
Takbiiir. Karibu Madrasa Husayn tukupe darasa!Bwana juma hebu tulia juma na elimu wapi na wapi?
Karibu sana. Vipi kitimoto bado mnakula?Hayo ndio kina juma wanayajua mambo ya mnyazi.