Jamani hizi ni university za vipi. Inaitwa University lakini haina website. Kuna watoto wamechaguliwa kwenda pale sasa sijui wanapataje kujua chuo kikoje na mahitaji yake! I doubt its credibility, parents beware of this!
Jamani hizi ni university za vipi. Inaitwa University lakini haina website. Kuna watoto wamechaguliwa kwenda pale sasa sijui wanapataje kujua chuo kikoje na mahitaji yake! I doubt its credibility, parents beware of this!
Sasa wewe kumbe elimu yako ni shida haikusaidii kabisa kama neno temporarily disabled ndo limekuchanganya wakati hata tcu wakati mwingine waga inaandika hivyo think big
Sasa wewe kumbe elimu yako ni shida haikusaidii kabisa kama neno temporarily disabled ndo limekuchanganya wakati hata tcu wakati mwingine waga inaandika hivyo think big
Kifupi ni kwamba kile chuo kiko hoi kifedha. Hata waalimu wengine wameshasepa. Kuna ndugu yangu amemaliza pale, diploma level, na baadhi ya matokeo yalichelewa kutoka kwa kuwa walimu wanaodai waligoma nayo.
Kwa hiyo kama wameishiwa bandwidth nadhani ni ukata...
Tanga ni nyumbani ila upwani unatutafuna kiukweli yani unaweza kuta mtu yuko active sana ila akianza kuishi tanga basi hubadilika na kuanza kuwa mvivu, Ule ukanda kwanini uvamiwe na waarabu?