Ebu wanaume pitieni hapa

Ebu wanaume pitieni hapa

bujaganoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
561
Reaction score
453
Habari zenu kwanza

Naomba kuwauliza kitu,

Ishawahi kuwatokea hii hali ambayo imekuwa ikinitatiza?
Nimekuwa najikuta naejaculate (natoa manii) wakati wa kumalizia kukojoa na wakati mwingine wakati wa haja kubwa.

Is it a problem or ni uzalishaji wa Mbegu umeongezeka.

Coz sijaona mabadiliko yoyote hata kwenye game, na nilijaribu kumtafta Dk. Wa magonjwa ya zinaa akasema ni jambo la kawaida.

Ebu tupeane uzoefu, sijamwamini sana.
 
wanaogopa kuonekana na wao ni jogoo ndio maana hawakujibu.
 
Mmh hajawahi, ila niliona mtu mwingine jf doctor anasema hivo hivo pia.....
Sa mna matatizo gani jameni au mabomba yenu yanavuja? Virutubisho vinapotea hivi hivi
Hahahahaha virutubisho vitakuwa vimezidi asee
 
Hahahaha bro unazingua asee, naona itakuwa normal hiyo... Ulikuwa was was wangu tu
Nina experience katika hili mkuu, kapewa ushauri wa daktari haujamfaa nadhani daktari huyo ni expert kwenye auto tu ndo maana nikatoa wazo labda aende kwa mafundi wa kuchomelea kwa kuwa anaweza kuwa yeye ni manual
 
...madaktari Mara watakapo kukutoa mbegu za kiume wala hawapati tabu IPO sehemu inaguswa hapo nyuma zinatoka zenyewe!
 
Habari zenu kwanza

Naomba kuwauliza kitu,

Ishawahi kuwatokea hii hali ambayo imekuwa ikinitatiza?
Nimekuwa najikuta naejaculate (natoa manii) wakati wa kumalizia kukojoa na wakati mwingine wakati wa haja kubwa.

Is it a problem or ni uzalishaji wa Mbegu umeongezeka.

Coz sijaona mabadiliko yoyote hata kwenye game, na nilijaribu kumtafta Dk. Wa magonjwa ya zinaa akasema ni jambo la kawaida.

Ebu tupeane uzoefu, sijamwamini sana.
angalia isiwe gono ukadhani ni manii
 
Back
Top Bottom