Ebrahim Raisi, mchinjaji wa Tehran(The Butcher of Tehran) atakayekumbukwa kwa madhila mengi na makubwa

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,537
47,994
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishi na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.

Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.

Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.

Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
 
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishia na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.

Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.

Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.

Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
Mungu ndiye mpangaji wa kila maisha ya mwanadamu
 
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishia na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.

Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.

Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.

Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
Mungu ndiye mpangaji wa kila maisha ya mwanadamu
 
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi kuguswa naye katika utumishia na uongozi wake mrefu ndani ya Iran.

Huyu bwana alianza kama mwendesha mashitaka na baadaye naibu mwanasheria mkuu katika wa serikali ya Iran, alikuwa mjumbe pia katika kamati za mauaji. Chini yake katika nafasi hizo mbalimbali akifanya kazi kwa ukaribu na mahakama ilishuhudiwa watu zaidi ya 8,000 wakinyongwa na maelfu wengine wakitupwa jela, kupotea au kupata adhabu za utesaji mkuu uliopitiliza kwa sababu za kisiasa na mambo mengine yanayoitwa ya kimaadili.

Wa-Iran wenye uraia wa nchi mbili hasa za magharibi walikumbana na mkono wake katili haswa, alibuni mpango wa kuwatumia kama chambo katika migogoro ya Iran na magharibi kwa kuwavizia na kuwakamata akiwasingiza uhaini kisha kuwatumia kama karata turufu kwenye majadiliano mbalimbali na West.

Huenda wahanga kutoka familia nyingi kwa maelfu ndani na nje ya Iran zilizoathiriwa naye wanaomba helicopter hiyo isipatikane kabisa na hawawezi kulaumiwa kwa hilo.
Ubinadamu kazi.
Kwakweli kazi ipo, japo sijaelewa kilichoandikwa kinapoanzia na kinaishia, Kwa maana nashindwa kuelewa kama hiyo ndege inayosemewa ni kwamba imepotea? Au imepata ajari?
 
Atakumbukwa zaidi na Magaidi ya Kataib Hezbola ya Iraq atakumbukwa na Magaidi ya Hezbola atakumbukwa na Magaidi ya Hamas atakumbukwa na Magaidi yanayotutesa ya Houthi.

Atakumbukwa na Magaidi ya Boko Haram na Alshababu atakumbukwa na Magaidi ya Al Qaida.

Atakumbukwa na kufanyiwa Dua na Magaidi ya Uamsho huko Zanzibar.
 
Back
Top Bottom