cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
Imechukua miaka mingi sana baada ya Radio free ya Mwanza kua radio bora kutoka mkoani na kufanya vizuri ndani ya Dar
Miaka ni Mingi sasa Ebony FM toka Iringa imekua radio number moja kwa upande ya nyanda za juu kusini na sasa imeingia Dar kwa kishindo sana
Baada ya RFA Ebony FM ndio redio pekee yenye mpangilio mzuri wa vipindi kutoka mkoani na frequency zake zina nguvu ndani ya Dar es salaam frequency 106.9
Big up Ebony Fm ongezeni nguvu katika mikoa mingine
Miaka ni Mingi sasa Ebony FM toka Iringa imekua radio number moja kwa upande ya nyanda za juu kusini na sasa imeingia Dar kwa kishindo sana
Baada ya RFA Ebony FM ndio redio pekee yenye mpangilio mzuri wa vipindi kutoka mkoani na frequency zake zina nguvu ndani ya Dar es salaam frequency 106.9
Big up Ebony Fm ongezeni nguvu katika mikoa mingine