Wew pandikizi LA lumamba mnawazia sehem gani ya mwili?[QUOTE="MISULI, post: 32830909, member:
Unataka serikali iseme kuna Ebola hata kama hamna?
Ni karma kwa watesaji wa RAIA wenye mtizamo tofauti na kijani!
Utakuwa umeletwa na CHADEMA
Jana nilienda kanisani maeneo ya kimara.
baada ya ibada alisimama mama mmoja aliyejitambulisha kama mtaalamu kutoka wizara ya Afya. yule mama alitutahadharisha tuchukue tahadhari na ugonjwa wa ebola.miongoni mwa sababu alizosema ni kwamba ugonwa ule waweza kuwepo nchini kwa maana tunazungukwa na walioathirika
Swali mama yle alitumwa nanani na kwanini alifika pale? aliongea kama muumini au mtaalamu wa afya?
serikali kuweni wawazi ugonjwa upo nchini
wasalaam
umbeaJana nilienda kanisani maeneo ya kimara.
baada ya ibada alisimama mama mmoja aliyejitambulisha kama mtaalamu kutoka wizara ya Afya. yule mama alitutahadharisha tuchukue tahadhari na ugonjwa wa ebola.miongoni mwa sababu alizosema ni kwamba ugonwa ule waweza kuwepo nchini kwa maana tunazungukwa na walioathirika
Swali mama yle alitumwa nanani na kwanini alifika pale? aliongea kama muumini au mtaalamu wa afya?
serikali kuweni wawazi ugonjwa upo nchini
wasalaam
Ni karma kwa watesaji wa RAIA wenye mtizamo tofauti na kijani!