poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Habari wadau!
Naomba msaada kwa ambao washawahi kufanya manunuzi kwenye mtandao wa ebay.com
Kwani nimefanya manunuzi kwa mara kadhaa lakini napata majibu ambayo siyaelewi na ninachokusudia kununua nakikosa.
Nimekuwa nikinunua vitu kupitia mtandao wa aliexpress.com mara nyingi na nafanikiwa.
Nina akaunti ya paypal na kadi yangu ya benki inaruhusu kununua bidhaa online.
Na salio lililokuwepo kwenye akaunti yangu ni kubwa na la kutosha kufanya manunuzi ya bidhaa ninayokikusudia. Naomba msaada kwa wenye ujuzi zaidi kuhusu kufanya manunuzi ebay.
Naomba msaada kwa ambao washawahi kufanya manunuzi kwenye mtandao wa ebay.com
Kwani nimefanya manunuzi kwa mara kadhaa lakini napata majibu ambayo siyaelewi na ninachokusudia kununua nakikosa.
Nimekuwa nikinunua vitu kupitia mtandao wa aliexpress.com mara nyingi na nafanikiwa.
Nina akaunti ya paypal na kadi yangu ya benki inaruhusu kununua bidhaa online.
Na salio lililokuwepo kwenye akaunti yangu ni kubwa na la kutosha kufanya manunuzi ya bidhaa ninayokikusudia. Naomba msaada kwa wenye ujuzi zaidi kuhusu kufanya manunuzi ebay.