EATV kuanzia saa 6 mchana live

EATV kuanzia saa 6 mchana live

shelumwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
516
Reaction score
190
Mkutano wa mgombea wa urais mh Edward Lowassa utakua moja kwa moja kuanzia redio na TV ya East Africa . Hii ni kwa wote walio nje ya Dar na ambao hawataweza kufika jangwani leo tarehe 24/10/2015
 
hatuangalii huyo mwizi na tapeli tunaangalia star tv na azam two tv tumuangalie dr
 
huyo ndo hafai kabisa ni kama king'amuzi maana remote wanazo wakina baba ridhi na ben
 
Ina maana walio Dar hawataweza kuona hiyo kampeni?
 
ushindi mapema sana na unajua njia ya kulinda tuliyo amua kuifanya baada ya mita 200 kukandamizwa
 
Ccm iko chini ya laana. Hawana namna na kesho wanagawana notice boards na makufuri ya ofisi.
 
Ee Mwenyenzi Mungu tunaomba haki itendeke maisha yaendelee baada ya hapo l love Tanzania/l love lowassa
 
Back
Top Bottom