nlishakitumia tangu mwaka 2008 kiko poa sana
channels za news, local karibu zote zipo clear kabisa ma nyingine za movie.
kama uko dar nenda pale mwenge mpakani kuna office zao na sehemu zingine
Gharama za Easy Tv ni 120,000/= then utakuwa unalipia shs 9000/= kila mwezi na channel zake zipo clear sana haina shida au piga 0713 378379 atakuja kukufungia hadi hapo nyumbani ni mtumishi wa Easy Tv
Yah, ni Dar pekee inapatikana, na unatumia antenna tu na king'amuzi, haina dishi. Channel zao ziko clear sana, wala hazi scratch. Local channels zilizopo ni ITV, Star TV, Channel 10, EATV, DTV, Mlimani TV, TV Tumaini, TBC1 na Capital. News wana BBC, Aljazeera na CCTV. Kwa wapenzi wa mieleka na masumbwi kama mimi kuna Optima channel! Ni nzuri kwa mtu wa kipato cha wastani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.