U
Laizer M said:I think we should allow them to join EAC because of the following reasons:
- This could be a good chance of advising them to stop their fighting.
- It may ease the reconciliation going on.
Emanuel Mwampashe said:Kila kitu kina faida na hasara zake, tukiangalia kwa undani, Rwanda na Burundi wakijiunga nasi wataleta hasara gani? ukabila wao?, sidhani maana wao ni sehemu ndogo sana ya jumuia, hivyo si rahisi kupenyeza dhana ya ukabila maana sisi hatukuizoea. Faida ni nyingi wakijiunga nasi, pamoja na masuala ya biashara tutakuwa tunawasaidia wajifunze kutoka kwetu kuwa ukabila ni dhambi kubwa. tuwakaribishe ili waone sisi tunawezaje kuishi pamoja bila kugombana ilhali tu mamia ya makabila.
Waruhusiwe ili waanze kuongelea maswala yao kama wanyarwanda na warundi, na si kama wahutu na watutsi.
Emma
Jizaledo said:Rwanda and Burundi should not have been countries on their own in the first place. This was poison planted by the Europeans; if these countries remained as part of Tanganyika all these killings would not have taken place. Putting two territorial boundaries around two tiny tribes and mixing them up unproportionately around these boundaries is one of the biggest "mistakes" that the Europeans made in Africa. It just wouldn't work.
Now these people need the help of their fellow Africans and accepting them in EAC would go along way towards solving their tribal rivalry. The only problem lies with EAC itself and the dream that it could become a federation. With the mentality of Kenyans as we witness it - Hiyo sahau.