tama
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 602
- 71
Ipo siku Tanzania itapigwa na hizi nchi tatu
Mungu atuepushe na hilo.
Ipo siku Tanzania itapigwa na hizi nchi tatu
Hili Raisi ni liuwaji Kama nini!!
Ikulu imejazana vilaza na wachumia tumbo waliofeli shule!
Hahahahaha kama mama yako alivyofanya mambo ya kijinga ukapatikana weweKila nikisoma posts za kijinga nakuta jina lako ndo linajirudia... nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu lakin vilevile nina shaka na uraia wako...