Si ajabu wengi wetu hatufahamu yale ambayo yalisababisha kuvunjika kwa EAC ya awali; sana sana tunafahamu hayo kupitia maandiko tu. Pamoja na hayo, wengi wetu hapa tunafahamu juu ya kufufuliwa upya kwa jumuiya hiyo. Kwa kurejea tu ni kwamba, EAC ilianza kufufuliwa kipindi ambacho Rais Daniel Arap Moi alishakuwa madarakani kwa zaidi ya miaka kumi. Hali kadhalika, hata Rais Museveni nae alishakuwa madarakani kwa zaidi ya miaka kumi vile vile. Kwa upande mwingine, Rais wa Tanzania enzi hizo, Mheshimiwa Benjamini Mkapa alikuwa hajatimiza hata miaka mitano madarakani! Na kama kumbukumbu zangu zipo sawa, ni kwamba harakati za kufufuliwa EAC zilianza ama zilipamba moto miaka michache tu tangu Mkapa aingie madarakani. Hii maana yake ni nini? Akili ya kawaida katika hili inashawishi kwamba, kuna kila dalili kwamba Benjamin Mkapa alikuwa ndie CATALYST ya ufufuliwaji upya wa EAC. Wana Habari na wale watu wa serikalini tangu zamani labda wanaweza kulieleza vizuri jambo hili vinginevyo niatendelea kushawishika kwamba Mkapa ndie ali-push kufufuliwa EAC coz Museveni na Moi walishakuwa madarakani kwa zaidi ya miaka kumi lakini hapakutokea kitu kama hicho!
Hayo yote kwa sasa ni historia lakini ni muhimu katika kutafuta marejeo. Historia ni mwalimu mzuri. TUENDELEE.
Hivi sasa mtu hahitaji kuwa na shahada ya uhusiano wa kimataifa kufahamu kwamba jumuiya ya Afrika Mashariki ipo mashakani! Wengi wa Watanzania, hususani wana Jamii Forums tumekuwa tukimshutumu sana Kagame kwamba ndie chanzo cha yote haya! Humu jukwaani tumemshambulia sana Kagame kwa lugha mbalimbali; za kiungwana na hata zile za kinyume chake! Niseme wazi, mimi ni miongoni mwa wale ambao nimetupa makombora mazito mazito kwa Kagame! Nimepata kumuita Kagame kwa majina mbalimbali kama vile muuaji na mpenda vita! Nitamke tu kwamba, kwa kawaida akili yangu huwa inakwenda likizo ninapoona kiumbe chochote kinaingilia maslahi ya nchi hii!
Hata hivyo, hatimae akili ikarudi kutoka vacation! Hapo tena nikajiuliza; hivi CATALYST ni KAGAME kweli? Mbona ni kama akili iliyorejea kutoka vacation inanishawishi kwamba CATALYST sio Kagame bali ni KENYATTA?
Kwanza tuwekane sawa, hususani kwa wale ambao walikuwa wanalikimbia somo la Chemistry. WHATS A CATALYST?
Kwa kifupi ni kwamba, A Catalyst is a substance which ALTERS the rate of chemical reaction! Ikiwa kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani tafsiri yake inamalizia kwa kusema but remains unchanged at the end of reaction.
Ku-alter manake ni kwamba ama ita-speed up the rate of chemical reaction au ita-slow down. Kwa kiswahili chepesi, A Catalyst is like KICHOCHEO! Sasa ni nani basi kati ya Kagame na Kenyatta tunaeweza kumuita a CATALYST/KICHOCHEO? Kama ni Kagame, mbona haya hayakutokea zamani wakati Kagame alishakuwa madarakani tangu enzi hizo? Ni kwanini haya yametokea miezi michache tu tangu Kenyatta aingie madarakani? Is it Kagame or Kenyatta?
Kama mtu atanitaka niwaelezee kwa sentensi fupi sana watu hawa ni kwamba Kagame ni one of the most ambitious leader ever happened in EA history! Hes also The War Monger, hili halina mjadala! Huyo ni Kagame! Lakini kwa upande mwingine, Kenyatta ni one of the Capitalist Leader ever happened in EA history! While Kagame is so ambitious politically and political power, Kenyatta is so ambitious economically and economical power! Kenyatta ni bebari kwa tafsiri zozote zile! Kwa hulka zao, watu wa aina hii wana expansionism motives; however, economical expansionism.
Turudi kwa EAC crisis. Hivi ni nini hasa kinachotafutwa pale kwa hivi sasa? Is it political/power or economical motive? Watu wanazungumzia kuziunganisha nchi zao kwa reli, barabara, bandari and so on! Wanazungumzia ku-speed up suala la kuwa na single currency! Are all those political or economical motives? Sidhani kama panahitajika shahada kufahamu kwamba kinachopiganiwa sana hapo ni maslahi ya kiuchumi; at least kwa sasa! Kama ndivyo, sasa ni nani basi anaweza kuwa the catalyst kati ya Kagame whos so ambitious for political power au Kenyatta ambae ni so ambitious economically? Huku tukijiuliza hayo, bado tunatakiwa kutojisahaulisha kwamba mbona haya hayakuwapo huko nyuma?
WHERE DO I STAND?
I HATE ANY LEADER WHOS SO AMBITIOUS FOR POWER! Hata hivyo, Ill always ADORE ANY LEADER WHOS SO AMBITIOUS FOR ECONOMICAL POWER provided hes doing so at a national level, meaning kwa ajili ya taifa lake! Kenyatta is one of the Richest Leader in Africa! So, nashawishika kuamini kwamba ambition hii aliyonayo Kenyatta kwa sasa ni kutafuta maslahi makubwa ya kiuchumi kwa nchi yake! BTW, hata harakati zenyewe hazionekani kama ni za personal interest zaidi ya kuonekana kama ni for the national interest. Hata kama roho inanikereketa na kunichonyota lakini lazima niseme wazi kwamba BRAVO KENYATTA! Hao ndio aina ya viongozi wanaotakiwa katika karne hii! We dont talk of INTERNATIONAL RELATIONS now days but we talk of INTERNATIONAL COOPERATION, no longer INTERNATIONAL DIPLOMACY but ECONOMIC DIPLOMACY! Moyo unaniuma kwelikweli huku ukinikereketa na kumlaani Kenyatta kimoyo moyo kwa kumuona ana-betray EAC! Lakini ukweli utabaki pale pale kwamba sina lolote zaidi ya wivu tu; tena wivu wa kijinga! Wivu wa kijinga wa kuona tunapigwa bao la kisigino huku tukiendelea kuvuta shuka! Matongotongo yakinitoka nitabaini wazi kwamba Kenyatta si rais wa EAC bali ni wa Kenya; so KENYA FIRST, East Africa baadae! Tuache SIASA KALE!
Maana ya yote hayo ni nini? Kulalamika, kunungunika, ama kupiga kelele katu hakutatusaidia Watanzania! Viongozi wanatakiwa kuamka na kuweka mbele maslahi ya Tanzania. Dunia ya leo ina-operate kwenye soko huru, where market force ndio inayo-determine everything. Kenyatta ni bepari, ameona loophole na hivyo kuamua kuitumia for the interest of Kenya! Loophole kubwa aliyoiona Kenyatta ni miundombinu ya uhakika kwenda land locked areas; PERIOD! Hivi tulitarajia Kenyatta aishirikishe Tanzania katika kuimarisha miundombinu kuelekea Uganda na Rwanda? Unless kama angekuwa ni one of the foolishEST leaders ever happened in African History. Atushirikishe ili iweje? Frankly speaking, nadhani leo hii Mheshimiwa Kikwete akiulizwa achagua moja kati ya kuizamisha Bandari ya Tanga au Mombasa, sina shaka anaweza kuchagua Tanga ili ndugu zetu Wakenya wasikose kabisa bandari! Lakini kwa upande mwingine kama Kenyatta ataulizwa izamishwe Bandari ipi kati ya ile ya Dar es salaam au ya Kilwa; haraka haraka atajibu zamisha ya Dar es salaam, ya Kilwa itawatosha! Ukiyasoma haya juu juu, hutanielewa!
Kenyatta na Kenya wameamua kutumia loopholes/opportunities! Nadhani badala ya Watanzania kulalamika sasa tutumie fursa zilizopo! Kwa kuangalia ramani, Biharamulo panaonekana kama ni sehemu ambayo ni rahisi kufikika kutokea Uganda, Rwanda na Burundi; and in fact hata DRC! Sasa kwanini tusiwe na largest Inland Container Terminal pale kisha Biharamulo ikaunganishwa na reli kutokea Dar es salaam ambayo inakuwa chini ya TPA? Kwamba mzigo wa Rwanda, Burundi, Uganda na DRC utakuwa umefika Tanzania pale tu unapokuwa tayari umeshafika Biharamulo. Hii maana yake ni kwamba, Importers kutoka mataifa hayo badala ya kuja Dar, wanafuata mizigo yao Biharumlo na Exportes badala ya kuleta mzigo Dar, wanafikisha Biharamulo au popote pale patakapoonekana ni very strategic! Hili likifanyika, hata kama kutakuwa na reli za vioo kutoka Mombasa hadi Kigali/Kampala/Bujumbura bado wafanyabiashara wa huko wata-opt kwenda kutumia Dar Via Biharamulo unless tushindwe kuwa efficient! Efficient kubwa ninayozungumzia hapa ni rate at which mizigo itakuwa evacuated. Kwanini tusiwe na a very large TPAs Inland Container Terminal sehemu kama Tunduma ambayo ita-cater wafanyabiashara wa Zambia, South and South East DRC, Zimbabwe na Malawi?
Kwanini tusiwe na mpango wa makusudi kufanikisha haya? Tukisubiri Mchina, imekula kwetu; isitoshe Mchina anataka Bandari ya Bagamoyo wakati hata hiyo ya Dar hakuna efficiency! Why dont we have something like SAVINGS BEFORE BUDGET SCHEMES (SBBS)? Hata kama hakuna kitu kama hicho duniani; si dhambi sisi tukiwa wa kwanza! Kwamba, tunaweka sheria kabisa before anything, 10% ya mapato ghafi ya TRA ya kila mwezi, yanaenda moja kwa moja SBBS FUND na hiyo 90% inayobaki ndiyo inaenda kwenye mzunguko wa kawaida! Isitoshe, nadhani SBBS inaweza kusababisha uwepo wa matumizi mazuri ya serikali. Si ajabu haya matumizi yasiyo na maana wakati mwingine yanatokea kwavile watu wanaona kuna fedha nyingi; kwanini wasinunue magari ya fahari wakati wanaona fedha ipo?! UKishakuwa na SBBS, vipaumbele vitazingatiwa coz budget itakuwa ishafinywa in advance! I hope, hili likifanyika basi after 5 years SBBS inaweza kuwa na at least TSh. 2 Trillions ambazo zinaweza kuanzia kwenye program za makusudi kama hizo za ujengwaji wa njia za reli na program zingine zote.
NAWAKILISHA!
Hayo yote kwa sasa ni historia lakini ni muhimu katika kutafuta marejeo. Historia ni mwalimu mzuri. TUENDELEE.
Hivi sasa mtu hahitaji kuwa na shahada ya uhusiano wa kimataifa kufahamu kwamba jumuiya ya Afrika Mashariki ipo mashakani! Wengi wa Watanzania, hususani wana Jamii Forums tumekuwa tukimshutumu sana Kagame kwamba ndie chanzo cha yote haya! Humu jukwaani tumemshambulia sana Kagame kwa lugha mbalimbali; za kiungwana na hata zile za kinyume chake! Niseme wazi, mimi ni miongoni mwa wale ambao nimetupa makombora mazito mazito kwa Kagame! Nimepata kumuita Kagame kwa majina mbalimbali kama vile muuaji na mpenda vita! Nitamke tu kwamba, kwa kawaida akili yangu huwa inakwenda likizo ninapoona kiumbe chochote kinaingilia maslahi ya nchi hii!
Hata hivyo, hatimae akili ikarudi kutoka vacation! Hapo tena nikajiuliza; hivi CATALYST ni KAGAME kweli? Mbona ni kama akili iliyorejea kutoka vacation inanishawishi kwamba CATALYST sio Kagame bali ni KENYATTA?
Kwanza tuwekane sawa, hususani kwa wale ambao walikuwa wanalikimbia somo la Chemistry. WHATS A CATALYST?
Kwa kifupi ni kwamba, A Catalyst is a substance which ALTERS the rate of chemical reaction! Ikiwa kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani tafsiri yake inamalizia kwa kusema but remains unchanged at the end of reaction.
Ku-alter manake ni kwamba ama ita-speed up the rate of chemical reaction au ita-slow down. Kwa kiswahili chepesi, A Catalyst is like KICHOCHEO! Sasa ni nani basi kati ya Kagame na Kenyatta tunaeweza kumuita a CATALYST/KICHOCHEO? Kama ni Kagame, mbona haya hayakutokea zamani wakati Kagame alishakuwa madarakani tangu enzi hizo? Ni kwanini haya yametokea miezi michache tu tangu Kenyatta aingie madarakani? Is it Kagame or Kenyatta?
Kama mtu atanitaka niwaelezee kwa sentensi fupi sana watu hawa ni kwamba Kagame ni one of the most ambitious leader ever happened in EA history! Hes also The War Monger, hili halina mjadala! Huyo ni Kagame! Lakini kwa upande mwingine, Kenyatta ni one of the Capitalist Leader ever happened in EA history! While Kagame is so ambitious politically and political power, Kenyatta is so ambitious economically and economical power! Kenyatta ni bebari kwa tafsiri zozote zile! Kwa hulka zao, watu wa aina hii wana expansionism motives; however, economical expansionism.
Turudi kwa EAC crisis. Hivi ni nini hasa kinachotafutwa pale kwa hivi sasa? Is it political/power or economical motive? Watu wanazungumzia kuziunganisha nchi zao kwa reli, barabara, bandari and so on! Wanazungumzia ku-speed up suala la kuwa na single currency! Are all those political or economical motives? Sidhani kama panahitajika shahada kufahamu kwamba kinachopiganiwa sana hapo ni maslahi ya kiuchumi; at least kwa sasa! Kama ndivyo, sasa ni nani basi anaweza kuwa the catalyst kati ya Kagame whos so ambitious for political power au Kenyatta ambae ni so ambitious economically? Huku tukijiuliza hayo, bado tunatakiwa kutojisahaulisha kwamba mbona haya hayakuwapo huko nyuma?
WHERE DO I STAND?
I HATE ANY LEADER WHOS SO AMBITIOUS FOR POWER! Hata hivyo, Ill always ADORE ANY LEADER WHOS SO AMBITIOUS FOR ECONOMICAL POWER provided hes doing so at a national level, meaning kwa ajili ya taifa lake! Kenyatta is one of the Richest Leader in Africa! So, nashawishika kuamini kwamba ambition hii aliyonayo Kenyatta kwa sasa ni kutafuta maslahi makubwa ya kiuchumi kwa nchi yake! BTW, hata harakati zenyewe hazionekani kama ni za personal interest zaidi ya kuonekana kama ni for the national interest. Hata kama roho inanikereketa na kunichonyota lakini lazima niseme wazi kwamba BRAVO KENYATTA! Hao ndio aina ya viongozi wanaotakiwa katika karne hii! We dont talk of INTERNATIONAL RELATIONS now days but we talk of INTERNATIONAL COOPERATION, no longer INTERNATIONAL DIPLOMACY but ECONOMIC DIPLOMACY! Moyo unaniuma kwelikweli huku ukinikereketa na kumlaani Kenyatta kimoyo moyo kwa kumuona ana-betray EAC! Lakini ukweli utabaki pale pale kwamba sina lolote zaidi ya wivu tu; tena wivu wa kijinga! Wivu wa kijinga wa kuona tunapigwa bao la kisigino huku tukiendelea kuvuta shuka! Matongotongo yakinitoka nitabaini wazi kwamba Kenyatta si rais wa EAC bali ni wa Kenya; so KENYA FIRST, East Africa baadae! Tuache SIASA KALE!
Maana ya yote hayo ni nini? Kulalamika, kunungunika, ama kupiga kelele katu hakutatusaidia Watanzania! Viongozi wanatakiwa kuamka na kuweka mbele maslahi ya Tanzania. Dunia ya leo ina-operate kwenye soko huru, where market force ndio inayo-determine everything. Kenyatta ni bepari, ameona loophole na hivyo kuamua kuitumia for the interest of Kenya! Loophole kubwa aliyoiona Kenyatta ni miundombinu ya uhakika kwenda land locked areas; PERIOD! Hivi tulitarajia Kenyatta aishirikishe Tanzania katika kuimarisha miundombinu kuelekea Uganda na Rwanda? Unless kama angekuwa ni one of the foolishEST leaders ever happened in African History. Atushirikishe ili iweje? Frankly speaking, nadhani leo hii Mheshimiwa Kikwete akiulizwa achagua moja kati ya kuizamisha Bandari ya Tanga au Mombasa, sina shaka anaweza kuchagua Tanga ili ndugu zetu Wakenya wasikose kabisa bandari! Lakini kwa upande mwingine kama Kenyatta ataulizwa izamishwe Bandari ipi kati ya ile ya Dar es salaam au ya Kilwa; haraka haraka atajibu zamisha ya Dar es salaam, ya Kilwa itawatosha! Ukiyasoma haya juu juu, hutanielewa!
Kenyatta na Kenya wameamua kutumia loopholes/opportunities! Nadhani badala ya Watanzania kulalamika sasa tutumie fursa zilizopo! Kwa kuangalia ramani, Biharamulo panaonekana kama ni sehemu ambayo ni rahisi kufikika kutokea Uganda, Rwanda na Burundi; and in fact hata DRC! Sasa kwanini tusiwe na largest Inland Container Terminal pale kisha Biharamulo ikaunganishwa na reli kutokea Dar es salaam ambayo inakuwa chini ya TPA? Kwamba mzigo wa Rwanda, Burundi, Uganda na DRC utakuwa umefika Tanzania pale tu unapokuwa tayari umeshafika Biharamulo. Hii maana yake ni kwamba, Importers kutoka mataifa hayo badala ya kuja Dar, wanafuata mizigo yao Biharumlo na Exportes badala ya kuleta mzigo Dar, wanafikisha Biharamulo au popote pale patakapoonekana ni very strategic! Hili likifanyika, hata kama kutakuwa na reli za vioo kutoka Mombasa hadi Kigali/Kampala/Bujumbura bado wafanyabiashara wa huko wata-opt kwenda kutumia Dar Via Biharamulo unless tushindwe kuwa efficient! Efficient kubwa ninayozungumzia hapa ni rate at which mizigo itakuwa evacuated. Kwanini tusiwe na a very large TPAs Inland Container Terminal sehemu kama Tunduma ambayo ita-cater wafanyabiashara wa Zambia, South and South East DRC, Zimbabwe na Malawi?
Kwanini tusiwe na mpango wa makusudi kufanikisha haya? Tukisubiri Mchina, imekula kwetu; isitoshe Mchina anataka Bandari ya Bagamoyo wakati hata hiyo ya Dar hakuna efficiency! Why dont we have something like SAVINGS BEFORE BUDGET SCHEMES (SBBS)? Hata kama hakuna kitu kama hicho duniani; si dhambi sisi tukiwa wa kwanza! Kwamba, tunaweka sheria kabisa before anything, 10% ya mapato ghafi ya TRA ya kila mwezi, yanaenda moja kwa moja SBBS FUND na hiyo 90% inayobaki ndiyo inaenda kwenye mzunguko wa kawaida! Isitoshe, nadhani SBBS inaweza kusababisha uwepo wa matumizi mazuri ya serikali. Si ajabu haya matumizi yasiyo na maana wakati mwingine yanatokea kwavile watu wanaona kuna fedha nyingi; kwanini wasinunue magari ya fahari wakati wanaona fedha ipo?! UKishakuwa na SBBS, vipaumbele vitazingatiwa coz budget itakuwa ishafinywa in advance! I hope, hili likifanyika basi after 5 years SBBS inaweza kuwa na at least TSh. 2 Trillions ambazo zinaweza kuanzia kwenye program za makusudi kama hizo za ujengwaji wa njia za reli na program zingine zote.
NAWAKILISHA!