E72 classic phone brand new boxed

E72 classic phone brand new boxed

fareed uziel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
665
Reaction score
720
Bei:155000Tsh

Nauza simu hizi vintage za nokia
Napatikana kkoo,piga 0788622610

2192889_20191024_194152.jpg
2192888_20191024_194141.jpg
2192892_20191024_194200.jpg
 
Mkuu, hizi simu nazikubali sana hasa hyo Gold colour.. Size, appearance yaan zinanikosha sana..
Now namiliki Nokia ASHA 200 ila sio very classic although is Firm..
So punguza kidogo mkuu...
Mkuu hizi simu bei,ni classic na thamni yake haishuki mkuu..karibu mkuu hutojutia
 
Wabongo kwa kupigana bei hatujambo....yani hapo unguja tu kwa maziluu hizo simu auza 50 elfu weye waja kuuza laki na usheee?
 
Wabongo kwa kupigana bei hatujambo....yani hapo unguja tu kwa maziluu hizo simu auza 50 elfu weye waja kuuza laki na usheee?
Muongo,
Nyie ndio mnaharibu biashara za watu,hizi simu mara ya mwisho naziulizia zinauzwa 220k mtaa wa msimbazi/magira kkoo..jamaa kuuza 150k bado ni cheap
 
Wabongo kwa kupigana bei hatujambo....yani hapo unguja tu kwa maziluu hizo simu auza 50 elfu weye waja kuuza laki na usheee?
😂😂 hapo hata chai hujanywa,huna hela tuliza makende hayo..e72 nauza 150 full boxed halafu unasema ghali?
 
E72 kwa bei hio katka hali hio na full boxed ni bei nzuri...
Mm nilinunua yangu 180 na haikua full boxed, mpk sasa ninayo....

Anaehitaji pia
anayehitaji asha 302 au C5 ninazoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom