E72 classic phone brand new boxed

E72 classic phone brand new boxed

Imebaki piece moja wakuu rangi nyeusi
Wahi leo
0673206639
 
hapo hata chai hujanywa,huna hela tuliza makende hayo..e72 nauza 150 full boxed halafu unasema ghali?
Kunywa chai na kuongea nachokijua vinahusiana vipi? Pale Unguja duka la maziluu anazo hizo simu anaziuza elfu 50 tu.
We unazinunua wapi hadi uuze zaidi ya laki moja kama si kuibia watu.
 
Muongo,
Nyie ndio mnaharibu biashara za watu,hizi simu mara ya mwisho naziulizia zinauzwa 220k mtaa wa msimbazi/magira kkoo..jamaa kuuza 150k bado ni cheap
Umeelewa lakini au kimbelembele chako kinakupeleka puta?
Hizo simu zipo Unguja kwa 50elfu tu.
 
Kunywa chai na kuongea nachokijua vinahusiana vipi? Pale Unguja duka la maziluu anazo hizo simu anaziuza elfu 50 tu.
We unazinunua wapi hadi uuze zaidi ya laki moja kama si kuibia watu.
Simu nishaziuza,we baki hapo ulie ulie huku unaonakana kituko kwa watu..ushamba mzigo
 
Kunywa chai na kuongea nachokijua vinahusiana vipi? Pale Unguja duka la maziluu anazo hizo simu anaziuza elfu 50 tu.
We unazinunua wapi hadi uuze zaidi ya laki moja kama si kuibia watu.
Mkuu umekuwa mbara tena mana mwanzo uliandika kiunguja asaivi umeandika kibara...jamiiforum kuna mengi ya kujifunza
 
2192889_20191024_194152.jpg
2192892_20191024_194200.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom