simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Hivi karibuni tumeshuhudia chaguzi zilojaa utata ivory coast ,Nigeria,Uganda,hapa nyumbani Tanzania na Kenya mwaka 2007:-Kumekuwepo tuhuma za kuchakua matokeo.
Tuhuma ambazo zimesabashi kuvurugwa amani,,vifo na uharibufu mkubwa wa mali. Je, E-voting ndio muarobaini wa hili gonjwa uchakachuaji? E voting imetekelezwa India kwa manifikio makubwa.
Je, hili linawezekana Africa ua tunahitaji home grown solution mfano mlolongo system?
Tuhuma ambazo zimesabashi kuvurugwa amani,,vifo na uharibufu mkubwa wa mali. Je, E-voting ndio muarobaini wa hili gonjwa uchakachuaji? E voting imetekelezwa India kwa manifikio makubwa.
Je, hili linawezekana Africa ua tunahitaji home grown solution mfano mlolongo system?