HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,195
JR is not stupid kama mnavyo fikiria
anazo paper trail ambazo zinaweza kuiangusha serikali. Na hapa siongelei email zilizokuwa humu JF kisha zikaondolewa. By paper trail nina maanisha nani alilipwa nini na lini na pesa ziliwekwa account zipi na baadae zilitolewa na nani....
JR ataimuimplicate JK (alikuwa waziri wa nishati na madini) na hii itawagusa watu wengi sana waliopo na wasiokuwepo.
The only solution ya hili jinamizi ni Katiba mpya lakini kwa kuangalia ile rasim ya katiba iliyopendekezwa means kuwa Rais Magufuli naye akiondoka ataweza kushtakiwa.
Hii movie bado mbichi sana na sidhani kama tutafika kokote kule. Unless JR apatwe na ugonjwa wa moyo....
Nitarudi shortly kuna wageni wamekuja
anazo paper trail ambazo zinaweza kuiangusha serikali. Na hapa siongelei email zilizokuwa humu JF kisha zikaondolewa. By paper trail nina maanisha nani alilipwa nini na lini na pesa ziliwekwa account zipi na baadae zilitolewa na nani....
JR ataimuimplicate JK (alikuwa waziri wa nishati na madini) na hii itawagusa watu wengi sana waliopo na wasiokuwepo.
The only solution ya hili jinamizi ni Katiba mpya lakini kwa kuangalia ile rasim ya katiba iliyopendekezwa means kuwa Rais Magufuli naye akiondoka ataweza kushtakiwa.
Hii movie bado mbichi sana na sidhani kama tutafika kokote kule. Unless JR apatwe na ugonjwa wa moyo....
Nitarudi shortly kuna wageni wamekuja