MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
Vita halisi vya kupambana na grand corruption inapaswa kuendeshwa na CHADEMA chini ya kamanda Lowassa na genge lake!Mkuu hata hao watuhumiwa wanaenda kula bata tu.
Vita halisi ya kupambana na Grand Corruption haiwezekani kuendeshwa na CCM kamwe.