Hivi jamani TZ kuna e learning? Km ipo ni wapi wanasomesha? Na vp utambulisho wake, inatmbuliwa na waajiri na serikali?
Hivi jamani TZ kuna e learning? Km ipo ni wapi wanasomesha? Na vp utambulisho wake, inatmbuliwa na waajiri na serikali?
huo ni mfumo wa kufundishia, pale UDSM ilikuwa inafanyika Coet kabla ya kufungua ile Virtual learning centre, ambayo haitumii tena e-learning.
Hiyo sehemu ya Virtual Learning ipo wapi?