fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,831
- 7,644
Kila nikijaribu kulipia mange app kwa e card inakataa,nimewauliza voda wenyewe hawajibu,kama kuna mdau humu anaweza kunipa ufumbuzi nitashukuru
Aisee hiyo pesa kawape masikini Mungu atakubarikiKila nikijaribu kulipia mange app kwa e card inakataa,nimewauliza voda wenyewe hawajibu,kama kuna mdau humu anaweza kunipa ufumbuzi nitashukuru
Ungemuuliza mange ingekuwa busara zaidi!Kila nikijaribu kulipia mange app kwa e card inakataa,nimewauliza voda wenyewe hawajibu,kama kuna mdau humu anaweza kunipa ufumbuzi nitashukuru
okUngemuuliza mange ingekuwa busara zaidi!
asanteAisee hiyo pesa kawape masikini Mungu atakubariki
heshimu uhuru wa mwenzio kuchagua kitu apendachokweli na akili yako unasoma madudu ya Mange? Sijaongea kwanza kuhusu kulipia, nimeanza na kusoma kwanza, kulipia tutajadili baadae
ujinga kama ulivyo wako,ni muhimu kwenye maishaKwani mkuu unataka uongeze ujuzi zaidi kwenye fani yako ya ujinga kupitia app ya Mange?Nakutakia heri.
shida yako ukibanwa kujamba,hujambiHili taifa nyie ndio mnaofanya taifa lionekane Lina wapumbavu
ok nadhani ndio maana nashindwa kulipaMange kafungiwa
Upo vizuri sana.ujinga kama ulivyo wako,ni muhimu kwenye maisha
heshimu uhuru wa mwenzio kuchagua kitu apendacho
Tumia ya tigoKila nikijaribu kulipia mange app kwa e card inakataa,nimewauliza voda wenyewe hawajibu,kama kuna mdau humu anaweza kunipa ufumbuzi nitashukuru